TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

TANZIA Kutoka Qatar; Muungaji mambo ya ushoga Grant Wahl afariki ghafla

ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.

mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.

Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Kwahiyo..wema hawafi.?

#MaendeleoHayanaChama
 
ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.

mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.

Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Hakuna bonadamu ambae hatakufa regardless of matendo yake
 
ndio yale tunayasema kila siku ukiwa na matendo yasiyo mpendeza Mungu basi mungu atakushughulikia kwa njia zake, either magonjwa au mauti.

mifano ya hasira za mungu ipo mingi tu, kwa mfano; watu wa sodoma na gomora waliuwawa na Mungu kwa kuwashushia garika.

Binaadamu badilikeni, vinginevyo tutakabiliana na hasira za Mungu mwenyewe.
Kwahiyo nchini kwake Mungu hakumuona kaenda kumuonea huko!!!
 
Sodoma na gomora waliangamizwa/walikufa kutokana na matendo yao ya kishetani.
ukifanya matendo maovu ya kumchukiza aliye kuumba jua mungu atakushughulikia kwa namna yake either kifo, maradhi au ajali.
Wanaopata ajali, wagonjwa na wanaokufa ni wale waliomkosea Mungu.

Soma vizuri maandiko, Mungu anataka tumpende sio tumuogope.
 
Homosexual guys are like cancer should be eradicated from the eath surface by any means available. This should be every one duty then after is up to God whether will forgive them or not
Hujajibu swali.
 
Homosexual guys are like cancer should be eradicated from the eath surface by any means available. This should be every one duty then after is up to God whether will forgive them or not
Hawa wa kibongo mbona mnashindwa kuwaondoa? Maneno yenu na vitendo vyenu ni zero kabisa. Ndio maana huwa naona kama nyie ndo wadau/wateja wakubwa wa hao watu.
 
Huyo kafa kama mtu anavyoweza kufariki, Matendo yake na kifo chake hayana uhusiano hata kidogo, Ni nani msafi sasa asimame na aseme yeye ni msafi?
 
View attachment 2441785Huyo jamaa pichani [emoji1489] wakati mashindano ya kombe la dunia yanaenda kuanza alionekana akilalamika kuzuiliwa kuingia nchini humo kisa alivaa hiyo tshirt yenye rangi za upinde wa mvua ambazo zimekasimishwa kuunga mkono mtendo ya kuvuragana kati ya binadamu wa jinsia moja.

Grant Wahl aliyekuwa na miaka 48, ni mwandishi wa habari maarufu za kandanda nchini Marekani alianguka ghafla na kufariki alipokuwa akitazama mchezo wa Argentina na Uholanzi siku ya ijumaa usiku.

View attachment 2441793
Taarifa za mwanzo zinaonyesha alipatwa na mshtuko wa moyo, lakini hili bado haijathibitishwa rasmi na wataalam wa kitabibu.

NB: Pamoja na taarifa rasmi za kitabibu kutothibitisha binafsi najua huyo jamaa kapumzishwa not otherwise.
Acha akufe
 
Back
Top Bottom