Kutoka uchumi wa kati hadi kupapasa gizani tumepiga hatua

Kutoka uchumi wa kati hadi kupapasa gizani tumepiga hatua

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.

Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani

Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu

Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
 
Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.

Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani

Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu

Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Huyu takataka ameandika nini zaidi ya pumba?

Mama wa Uchumi ni Samia hao wengine ni wazee wa propaganda.

View: https://twitter.com/FMzaramu/status/1714245296140472798?t=vcM2Et6bQykjlkBJme8pOw&s=19
 
Kabla Shujaa Mwendazake hajatuaga, tuliambiwa nchi imepaa na sasa tupo uchumi wa kati.

Baada ya ziara zenye tija za Mama, ambazo hakika zimefungua nchi na uchumi kupaa sana tumefkia hapa leo nchi kuwa gizani

Nyerere alitufundisha na kutuasa kuwakataa hawa wapuuzi wanaolizamisha Taifa bila soni wala aibu

Lucas mwashambwa ChoiceVariable johnthebaptist Mshana Jr
Si akina mwigulu wanasema mama ni zaidi ya watanhuluzi wake ,kiko wapi sasa
 
Huyu takataka ameandika nini zaidi ya pumba?

Mama wa Uchumi ni Samia hao wengine ni wazee wa propaganda
Sisi takataka tunaendelea kuhoji
1. Umeme wa uhakika
2. Maji safi na salama ya uhakika
3. Elimu bora kwa watoto wa Taifa hili
4. Katiba mpya
5. Uwajibikaji


Wewe msafi una hoja gani
 
Kesho tuu atajiuzulu Wala usijali
Screenshot_20231008-072421.jpg
Screenshot_20231011-174305.jpg
 
Back
Top Bottom