Kutoka uchumi wa kati hadi kupapasa gizani tumepiga hatua

Kutoka uchumi wa kati hadi kupapasa gizani tumepiga hatua

Ni aibu kwa kweli

Hapa ninavyoandika ujumbe huu Niko gizani

Hakika tunamkumbuka sana JPM kama alivyosema😭
 
😏😏😏😏😏
Ongeza povu Mkuu Bado hapo
1083514789.jpg
34601712.jpg
1372372837.jpg
-793993877.jpg
 
Ni mmoja tu alitimiza ahafi ya kuwa na umeme wa uhakika.

Hiyo miezi 6 haikuanza leo. Tunaonekana kama.mazuzu kwa hizo ahadi za kipuuzi.

Wewe huna akili
Aliyekutuma ndo kabisaa hana akili
Ilianza lini? Nani huyo.aliyetimiza?
 
Back
Top Bottom