TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Unataka kuwanga?Ni aibu kwa kweli
Hapa ninavyoandika ujumbe huu Niko gizani
Hakika tunamkumbuka sana JPM kama alivyosema😭
HAhahabaOngeza povu Mkuu Bado hapo View attachment 2784728View attachment 2784729View attachment 2784730View attachment 2784731
Ilianza lini? Nani huyo.aliyetimiza?Ni mmoja tu alitimiza ahafi ya kuwa na umeme wa uhakika.
Hiyo miezi 6 haikuanza leo. Tunaonekana kama.mazuzu kwa hizo ahadi za kipuuzi.
Wewe huna akili
Aliyekutuma ndo kabisaa hana akili
Ndio kazi iliyobaki baada ya Serikali ya sa100 kufeli kwenye umemeUnataka kuwanga?
Hapana hajatoa Rais umetoa wewe 😂😂HAhahaba
Katoa Rais siyo?
Pesa za umma mnapeleka wapi?
Ingefeli kwenye umeme viwanda vingefungwa 🤣🤣Ndio kazi iliyobaki baada ya Serikali ya sa100 kufeli kwenye umeme
Miundombinu na hivyo vidaraja vya vimito uchwara vinavyotakiwa kuzinduliwa na Diwani nyie mnampeleka rais azindue ujinga gani huoOngeza povu Mkuu Bado hapo View attachment 2784728View attachment 2784729View attachment 2784730View attachment 2784731
Mwendazake alikuwa anazindua Hadi vyoo vya stand.Miundombinu na hivyo vidaraja vya vimito uchwara vinavyotakiwa kuzinduliwa na Diwani nyie mnampeleka rais azindue ujinga gani huo
Hapo nina imani ukienda kufungua sahizi hukuti hata tone la maji....maigizo tu hayo kama maigizo mengine😏Hapana hajatoa Rais umetoa wewe 😂😂
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1714225989016768840?t=q3pQAewWVyyInMQdcbd6xQ&s=19
Utapiga dislikes zako hadi vidole viungue.Ilianza lini? Nani huyo.aliyetimiza?
Si hayupo?Mwendazake alikuwa anazindua Hadi vyoo vya stand.
Ongeza povu hapo Bado halitoshi
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1713859743427506588?t=QfQ9Ll5OzwclWGGjLFQgsA&s=19
😁😁😁daraja la msingi DC alikuwa anatosha kabisa kukata utepe na sio huu ujinga mnafanya sasa siku ya kwenda kuzindua Daraja la JPM samia so atahamia Mwanza kabisa mwezi mzimaMwendazake alikuwa anazindua Hadi vyoo vya stand.
Ongeza povu hapo Bado halitoshi
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1713859743427506588?t=QfQ9Ll5OzwclWGGjLFQgsA&s=19
Ccm ikikaa pembeni watu wachache chama gani? 😂😂😂😂Utapiga dislikes zako hadi vidole viungue.
CCM imeshindwa. Ni wakati wa kukaa pembeni kuwapisha wenye uchungu na nchi
CC Erythrocyte
Nani hayupoSi hayupo?
Si hayupo ndo maana kila laana mnamtupia.Mwendazake alikuwa anazindua Hadi vyoo vya stand.
Ongeza povu hapo Bado halitoshi
View: https://twitter.com/WizarayaUJ/status/1713859743427506588?t=QfQ9Ll5OzwclWGGjLFQgsA&s=19
100%correct hakuna jipya wanalofanya kila siku na mwaka ni business as usualUtapiga dislikes zako hadi vidole viungue.
CCM imeshindwa. Ni wakati wa kukaa pembeni kuwapisha wenye uchungu na nchi
CC Erythrocyte
Umeme ni test ya kwanza na imemtoa knock outCcm ikikaa pembeni watu wachache chama gani? 😂😂😂😂
Mama wa Taifa ni 🔥🔥🔥
View: https://twitter.com/RashdaZunde/status/1714314220253192275?t=56ZwnRpKy_BsxVwDjkb5iw&s=19