Kutoka uchumi wa kati hadi kupapasa gizani tumepiga hatua

Kigwa naye ameona apige uchawa, ili mama amkumbuke kwenye teuzi zake?
Ikiwa ni lazima ateuliwe, basi awe mkuu wa usafi wa vyoo vya shule za msingi Tanzania.
Mama hakuteui Kwa sababu wewe ni chawa Bali kwa sababu utakuwa na input kwa jamii
 
Fix au wewe ndio unaleta fix? Tanzania tuko uchumi wa kati since then up to now.

Kutoka wastani wa Dola 2 Kwa siku Sasa tuko Dola 3 Kwa siku sawa na 2.8m income per year
Unatuletea uchumi wa kwenye magazeti....

Watu wanataka kuona unafuu wa maisha na si porojo... Mkoa kama mwanza upo kando kando ya ziwa lakini kuna maeneo mengi wanatumia visima, hakuna maji ya uhakika, na hapa ni karibia mikoa yote iliyoko pembezoni mwa maziwa makuu mikoa hiyo haina maji, suala la umeme ndio shida kabisa mgao kila siku, Petrol ndio usiseme imepanda bei, Tanzania ndio nchi yenye mifugo mingi ila ulaji wa nyama ni kama hanasa kwa sababu ya Bei. Mambo ni mengi sana nikielezea hapa ni shughuli.... Uchumi uendane sambamba na maendeleo na si kutuletea porojo hapa cha dollar 3 kwa siku. Hiyo hela unawekewa mfukoni na serikali au
 
Serikali haigawi unafuu Bali inafunguka fursa ,usipozitumia ni ujinga wako unastahiki kufa maskini.

Uchumi wa kwenye magazeti ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

View: https://www.instagram.com/p/CyNw7_YNA4e/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Serikali haigawi unafuu Bali inafunguka fursa ,usipozitumia ni ujinga wako unastahiki kufa maskini.

Uchumi wa kwenye magazeti ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

View: https://www.instagram.com/p/CyNw7_YNA4e/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Fursa gani unazozizungumzia wewe chawa? Fursa ambazo hazionekani, kazi kutuwekea link tu hapa. Fursa zinaonekana. Tutajie hizo fursa hapa

Tizama fursa hizi za Magufuli ambazo huitaji hata kutumia porojo;
1. Daraja la Magufuli Mwanza
2. Magufuli bus terminal
3. Serikali kuamia Dodoma
4. Barabara za lami
5. Meli kubwa ziwa Victoria "MV MWANZA"
6. Mwendokasi project
7. Kufufua viwanda
8. Bwawa la kufua umeme JNHEP


Kwa kifupi vitu vinaonekana na ni vingi, na kavifanya kwa miaka 5 tu, sasa huyu Bibi Tozo wenu huku mtaani tunaona shida tu. Kodi kibao, Vitu bei, Mgao wa umeme, ufisadi watu wanapiga pesa tu, Takukuru hawasikiki kabisa, misafara ya rundo la viongozi kwenda India, Petrol bei. Deni la Taifa limefika 120Trillion mara mbili ya deni la awali ndani ya misimu miwili.
 
Naunga mkono hoja ๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Kama hutaki kuona ni shida zako binafsi,nikisema nitoe orodha hapa nitajaza jf ,Samia ni level zingine ndio maana hutomsikia akitoka visingizio ooh hatuajiri tunajenga Sgr sijui bwawa na blaa blaa kama hizo .

4.Nitajie viwanda vilivyofufuliwa

-Vingine vyooote hapo Juu amemalizia na anamalizia Samia.

Mama wa Taifa hajaishia hapo tuu ameanzisha utitiri wa miradi Kila sekta,Sasa mimi Leo nakupa sekta Moja tuu ambayo ilimshinda Jiwe.

Twende kazi na Kilimo ๐Ÿ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/CyJcHAYt7wv/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Na bado tunapigwa kila siku ๐Ÿ‘‡
 
Umeme wa.maji bila mvua hakuna ,hata iwe Karne ya 100.

Mwaka juzi China ilikuwa na ukame na kukapatikana na shida ya umeme ,ilikuwa Karne ya ngapi?

Bichwa kubwa akili za mtaroni
Akili ndogo bwana๐Ÿ˜•eti uko kujifananisha na china๐Ÿ˜•๐Ÿ˜•๐Ÿ˜•๐Ÿ˜•๐Ÿ˜•
 
Kwa nini mikutano ilizuiwa
Kwa nini iliruhusiwa?

Tuanze kutambuana watu halisi against misukule๐Ÿคฃ
hoja hamna tena,

Tukutane kesho pale karume kwenye kahawa kuanzia saa10:30 alfajiri hadi saa1:00 Asubuhi tutakua tumebishana na kutoana jasho vizuri bila dalili za muafaka wowote kupatikana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ