Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Hivi hawa mawaziri huwa wanamshauri nini Rais?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
M/kiti wao aliwaambia wasichafuane watashindwa kuombeana kura!..
anafaa kuwa waziri mkuu
Ushamba mzigo kweli kama haujui uliza.hasomi mahali acha kupotosha .
Kichwa cha mwendawazimu.....
Hahahajaha
Nilidhani angetangaza nia ndani ya ardhi ya wapiga kura wake mkoani Tanga..!
Kwani Dr.Slaa anavyotoa ahadi uwa anasema pesa atatoa mfukoni kwake?
Kuna ahadi nzuri zilizowahi kutolewa kushinda za JK? Hakuna jipya CCMKwa ahadi hiz tanzania itakuwa juu kuliko hata marekani
njaa haina baunsa mkuu .
upuuzi unaanza na ww usioelewa zuri wala bayaupuuzi katika level yake .
Miaka kumi ya uongozi wake? Kwa katiba IPI?