Kutoka uwanja wa Taifa: Simba SC 4 - 5 Sevilla FC

Kuna ile ndorobo ilisema tunafungwa 100! Ikuje hapa!
 
Pachaa [emoji23][emoji23][emoji23]kikosi Z.
Ila mnajua kuloga bhana, palikuwa na ulazima gani kuandaa ngoma ya kwenda kuwapokea?
Bahati yako ni demu ila ningekusukumia maneno mazito sana.

Ben yedder ni kikosi Z?? Nolito je?? mama....e kabisa vyura
 
Bado siamini kama hii ni Sevilla ya kule Spain!
 
Bahati yako ni demu ila ningekusukumia maneno mazito sana.

Ben yedder ni kikosi Z?? Nolito je?? mama....e kabisa vyura
Hahahha tukanaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…