Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Bado sijamuona msanii anayeiimbia CCM kutoka moyoni kama alivyokuwa kapiteni John Komba.
Ngoja tuone labda atatokea.
Maendeleo hayana vyama!
Bado sijamuona msanii anayeiimbia CCM kutoka moyoni kama alivyokuwa kapiteni John Komba.
Ngoja tuone labda atatokea.
Maendeleo hayana vyama!
Huu ni mradi wa chakubanga kupiga pesa za chama, huu ni wakati wa mavuno kwa wajanja chamani.Unajua maana ya 'Msanii' Mkuu? Kwa sasa Tanzania hakuna 'Wasanii' bali kuna Kundi Kubwa sana la 'Waburudishaji' wenye 'Ujuha' uliowatukuka!!!
Hakika jamaa alikuwa anawezaView attachment 1538112
hakuna mapenzi hapo, ni kufuata fursa, na uoga wa kujipambanua mapenzi ya rohoni yamelala upande gani.Nitakuwa nakupatia update. Wasanii wote Tanzania kwa moyo wa upendo walitunga nyimbo kuhusu serikali ya CCM.
Wapo katika kufanya mazoezi ya nyimbo zitakazotumika kwenye kampeni ya chama kikubwa barani Afrika CCM.
View attachment 1537939View attachment 1537940View attachment 1537941
Ndio hivyo mkuu CCM washaanza mapema...Hapo msajili/NEC Kimya hawanyanyui mabakuli yao maana wakipayuka tu saa 6 usiku Gerson Msigwa anarusha kitu twitter.Kampeni zimeanza tayari kumbe?