Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

mbona wasanii wanapiga kelele ccm hoyeeeee, halafu watu wapo kimnya
Bila wasanii hata watu 100 hawafiki. Hapo watu wameenda kuangalia wasanii kiingilio cha bure. Maan uchumi mgumu watu kwenymda live bad show hawana. Ila mambo ya ccm hawana habari nayo.
 
Ngoja wananchi wapoze machungu ya miaka 5 kwa show za bure,
Nawasihi twanga au TOT wamuongeze kwenye jukwaa Yule mnenguaji nguli wakukata miuno Bwana Kagingi Ligolugola
Hata mimi ningekuwa karibu ningeenda. Show ya bure miaka mitano ya ukame wa pesa sio mchezo.
 
hao vijana wenzangu wamekwenda kushangilia au kushangaa?[emoji854]
na jua la dar linavyowaka!!!
Mkuu watu wengi Dar/Tz / Africa ni kama tuna kuwa hatuna kazi za kufanya hivi
 
Uchaguzi ukipita ule wao tusikie wanalia njaa
 
na wengi wao ni vijana. ccm wanafuata hiyo fursa ya watu mjini kuwatumia km hivyo
Yaani ni shida sana, fikiria walivyo kuwa wanajazana pale TFF etu kusubiri hukumu ya Morrison.
Hahhaaaa.
Sasa kwenye siasa kama wamepewa hata kidogo kitu ndio basi tena
 
Unajua maana ya 'Msanii' Mkuu? Kwa sasa Tanzania hakuna 'Wasanii' bali kuna Kundi Kubwa sana la 'Waburudishaji' wenye 'Ujuha' uliowatukuka!!!
Genty kama Genty, almaarufu kama P.O.P.O...
 
naona mbasha kapewa mtama wa kima cha mbuzi jukwaan kutoka kwa adam mchomvu
 
CCM ilikuwa enzi za marehemu mzee Ben bwana. Ilikuwa nyimbo za marehemu John Komba zikipigwa wananchi wanadata kwa mahaba waliyokuwa nayo kwa ccm.

CCM ya wakati ule ilikuwa na wafia chama, wapenda chama na wafurukutwa wa chama. Mizizi hii ya ccm ilijipandikiza mpk ndani kwenye jamii.

Awamu ya nne ya mzee Kikwete ndipo yakazaliwa makundi mapya ya ccm maslahi na CCM mtandao. CCM mtandao walikuwa na fedha na ndiyo walikuwa na nguvu ya ushawishi na maamuzi kuliko wafia chama, asilia, wafurukutwa na maslahi.

Sasa awamu hii ni vululu vululu. CM asilia wanapuuzwa, CCM maslahi wanapuuzwa, CCM, CCM mtandao wanapuuzwa. Sasa kumezaliwa CCM YA MTU. Hawa ndiyo wenye Sauti na maamuzi, lkn ni wachache Sana. Hawa ndiyo wameififisha ccm na kuifanya kukosa mvuto kabisa.

Imefifia kiasi cha kishindwa kujisemea na kujitangaza yenyewe kwa wananchi mpk wasanii wakusanyike uwanja wa Uhuru wapige promo.
 
Wawe makini hao wasanii njaa walipwe kwanza wasije kutulilia badae kwamba wametapeliwa Kama mwaka 2015.
 
Hakika CCM kama si dola na tume ya uchaguzi inayobadili matokeo kumpendeza mteuzi ingekuwa kaburi moja na KANU.
 
Leo nimejitoa ufahamu naamua kuangalia Chanel ten
Naona kuna vijana wa kitanzania wengi sana wanaimba na mastage show wao wanakata viuno kweli. Nahisi ni vijana wa Kitanzania maana wanaongea kiswahili fasihi na kile cha pwani au kile cha udangani. Ila wanatukana sana watu wanaoitwa wapinzani. Wanawapa kila aina ya neno baya na la kashfa
Hivi wapinzani ni Watanzania kweli ambao wanamrengo tofauti na chama tawala maana si kwa matusi na kashfa hizo? Haki yao ni kutukanwa namna hii na vijana wadogo tena wa kitanzania bila kujali nchi hii ni moja na wengine ni wakubwa zao tena wazazi? Siamini ninayoyasikia ila Mungu kama ni wa wote atafanya jambo.
 
Nimeshituka tamasha wasanii 200 tv kadhaa live!!! Nidalili jambo mbaya sana litatokea karibuni. Wakusifiwa na kuabudiwa ni Mola pekee.
 
Vituko kama hivi utaviona Tanzania pekee. Huko duniani hukuti huu utumbo Wa wasanii.
 
CCM ilikuwa enzi za marehemu mzee Ben bwana. Ilikuwa nyimbo za marehemu John Komba zikipigwa wananchi wanadata kwa mahaba waliyokuwa nayo kwa ccm.

CCM ya wakati ule ilikuwa na wafia chama, wapenda chama na wafurukutwa wa chama. Mizizi hii ya ccm ilijipandikiza mpk ndani kwenye jamii.

Awamu ya nne ya mzee Kikwete ndipo yakazaliwa makundi mapya ya ccm maslahi na CCM mtandao. CCM mtandao walikuwa na fedha na ndiyo walikuwa na nguvu ya ushawishi na maamuzi kuliko wafia chama, asilia, wafurukutwa na maslahi.

Sasa awamu hii ni vululu vululu. CM asilia wanapuuzwa, CCM maslahi wanapuuzwa, CCM, CCM mtandao wanapuuzwa. Sasa kumezaliwa CCM YA MTU. Hawa ndiyo wenye Sauti na maamuzi, lkn ni wachache Sana. Hawa ndiyo wameififisha ccm na kuifanya kukosa mvuto kabisa.

Imefifia kiasi cha kishindwa kujisemea na kujitangaza yenyewe kwa wananchi mpk wasanii wakusanyike uwanja wa Uhuru wapige promo.
Simple answer! Fursa! Unatafuta wapi penye hela ya bure! tena kubwa kidogo
 
CCM ilikuwa enzi za marehemu mzee Ben bwana. Ilikuwa nyimbo za marehemu John Komba zikipigwa wananchi wanadata kwa mahaba waliyokuwa nayo kwa ccm.

CCM ya wakati ule ilikuwa na wafia chama, wapenda chama na wafurukutwa wa chama. Mizizi hii ya ccm ilijipandikiza mpk ndani kwenye jamii.

Awamu ya nne ya mzee Kikwete ndipo yakazaliwa makundi mapya ya ccm maslahi na CCM mtandao. CCM mtandao walikuwa na fedha na ndiyo walikuwa na nguvu ya ushawishi na maamuzi kuliko wafia chama, asilia, wafurukutwa na maslahi.

Sasa awamu hii ni vululu vululu. CM asilia wanapuuzwa, CCM maslahi wanapuuzwa, CCM, CCM mtandao wanapuuzwa. Sasa kumezaliwa CCM YA MTU. Hawa ndiyo wenye Sauti na maamuzi, lkn ni wachache Sana. Hawa ndiyo wameififisha ccm na kuifanya kukosa mvuto kabisa.

Imefifia kiasi cha kishindwa kujisemea na kujitangaza yenyewe kwa wananchi mpk wasanii wakusanyike uwanja wa Uhuru wapige promo.
Hapo pia kuna watafuta fursa ndiyo kipindi chao cha mavuno 'opportunist seekers '
 
Back
Top Bottom