Donnie Music 61
Member
- May 22, 2020
- 51
- 52
Hakuna namna nyingine Kiongozi,Ukikataa wito pia ni balaa jingine awamu hii.Tazameni na hali zenu kibiashara itakuwaje mara baada ya uchaguzi kwisha, kazi zenu zitasusiwa na wasiyo wana ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna namna nyingine Kiongozi,Ukikataa wito pia ni balaa jingine awamu hii.Tazameni na hali zenu kibiashara itakuwaje mara baada ya uchaguzi kwisha, kazi zenu zitasusiwa na wasiyo wana ccm
Acha wivu wa kike ,ccm pesa iko ,hiyo sio saccos kama chadema ,ni taasisi kubwa na bora baraniJamani wasanii wote hawa watalipwa na Serikali wala sio CCM Tv coverage zilizo live zitalipwa na Serikali na wala sio CCM
Ccm hawana pesa ya kulipa live coverage ya masaa zaidi ya 5 kwenye Tv na wasanii zaidi ya 200 huu ni uongo watalipwa na Serikali ya Magufuli.
Na hapa ndipo hoja yangu ya mwatumizi mabaya ya madaraka inapokuja
Inakuwaje pesa za walipa Kodi Kama Machinga, Mama ntilie wafanyabiashara, Wafanyakazi na wanafunzi ziende kulipa wasanii wakati ni juzitu Waziri mkuu kagundua bado Kuna shule watoto wanakaa chini.
Kuna vijiji toka tupate Uhuru hawajawai kuona taa ya umeme wakati CCM imetawala zaidi ya miaka 59?
Miaka 59 ya Uhuru unawalipa wasanii zaidi ya 200 wakati baadhi ya majiji Kama mwanza arusha na dar maji bado yanakatikati sehemu nyingine za jiji hayapatikani kabisa.
Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu na pia watanzania wanafanywa wapumbavu.
Imagine miji Kama sengerema, tarime, bunda, bariadi, ukelewe Magu bado Kuna uhaba wa maji wakati wako karibu na ziwa Victoria ambalo ndio ziwa kubwa zaidi barani afrika.
Leo wasanii wanatumika kuupigia kampeni utawala ulioshindwa kwa kutumia pesa za walipakodi ambazo zingepeleka maji maeneo yao Mazuzu wanashangilia.
😜😜😜😜Hii iwe chachu ya watanzania kupiga kura za hasira kuiondoa ccm madarakani
Nimekusoma mkuuHakuna namna nyingine Kiongozi,Ukikataa wito pia ni balaa jingine awamu hii.
Chama Cha Ma free masonAcha wivu wa kike ,ccm pesa iko ,hiyo sio saccos kama chadema ,ni taasisi kubwa na bora barani
Kwani voda mlishaisusa tayari?Tazameni na hali zenu kibiashara itakuwaje mara baada ya uchaguzi kwisha, kazi zenu zitasusiwa na wasiyo wana ccm
Ccm inatumia hela zake vuzuri,!Wastaafu mafao yao wanazungushwa miaka ya kutosha tu kumbe hela zao zinapelekwa kwny mambo ya hovyo hovyo tu.
Limbukeni na mshamba anakoipeleka hi nchi Mungu ndio anajua .Jamani wasanii wote hawa watalipwa na Serikali wala sio CCM Tv coverage zilizo live zitalipwa na Serikali na wala sio CCM
Ccm hawana pesa ya kulipa live coverage ya masaa zaidi ya 5 kwenye Tv na wasanii zaidi ya 200 huu ni uongo watalipwa na Serikali ya Magufuli.
Na hapa ndipo hoja yangu ya mwatumizi mabaya ya madaraka inapokuja
Inakuwaje pesa za walipa Kodi Kama Machinga, Mama ntilie wafanyabiashara, Wafanyakazi na wanafunzi ziende kulipa wasanii wakati ni juzitu Waziri mkuu kagundua bado Kuna shule watoto wanakaa chini.
Kuna vijiji toka tupate Uhuru hawajawai kuona taa ya umeme wakati CCM imetawala zaidi ya miaka 59?
Miaka 59 ya Uhuru unawalipa wasanii zaidi ya 200 wakati baadhi ya majiji Kama mwanza arusha na dar maji bado yanakatikati sehemu nyingine za jiji hayapatikani kabisa.
Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu na pia watanzania wanafanywa wapumbavu.
Imagine miji Kama sengerema, tarime, bunda, bariadi, ukelewe Magu bado Kuna uhaba wa maji wakati wako karibu na ziwa Victoria ambalo ndio ziwa kubwa zaidi barani afrika.
Leo wasanii wanatumika kuupigia kampeni utawala ulioshindwa kwa kutumia pesa za walipakodi ambazo zingepeleka maji maeneo yao Mazuzu wanashangilia.
Wasanii was CCM.Kumbe unafikiriwaliokuja wamekuja kuangalia CCM inataka kufanya nini au wamekuja kuangalia wasanii?
Utapata jibu kwamba wamekuja kushangaa wasanii.
ccm bendi yao ni tot hawa wengine ni wafanyabiashara tuWasanii was CCM.
Pwahahaha. Mtakufa na ugonjwa wa moyo.
Pwahaha kama hujui uliza.ccm bendi yao ni tot hawa wengine ni wafanyabiashara tu