Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Hizi siasa wanatakiwa waliokomaa. Wengine humu watalifa na pressure.
karibia saa 5 watu nyomi wakisikiliza nyimbo nzuri za CCM
IMG_20200815_222819_822.jpg
IMG_20200815_223542_892.jpg
IMG_20200815_223546_287.jpg
IMG_20200815_223550_396.jpg
 
Pwahaha kama hujui uliza.
Kuna vijana Jazz ni wenu!?
Pwahahaha CCM chama kiongozi barani Afrika
acha kujifaliji kwa jambo ambalo hata wasanii , ccm wenzako wanajua watu wamejaa kwa sababu gani,,
pole sana NI YEYE LISSU
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana CCM wamezindua rasmi kampeni uchaguzi 2020 zilizofanyika katika uwanja wa UHURU huku zikihuduhiriwa na viongozi mbali mbali wakiwemo wa Serikali pia kama Msemaji mkuu wa Serikali. Kampeni hizo ambazo zilipewa jina la TAMASHA LA CCM zilichagizwa na wasanii mbali mbali wa muziki huku kila mmojawapo akihamasisha na kumkampenia Rais magufuli katika uchaguzi wa mwaka huu ambaye nae baadae aliwahutubia wahudhuriaji kwa njia ya Simu. Kwa Teknolojia ya sasa huitaji mgombea kuwa sehemu ya tukio unaweza kutumia mitandao pia kuhutubia kama alivyofanya jana.

Kwa hili lilofanykja jana wadau wengi wa siasa wanasubiri tamko au adhabu ya NEC dhidi ya CCM kwa tukio lilitokea jana. Kwa muijbu wa sheria za uchaguzi kuanza kampeni kabla ya mda wake adhabu yake ni mgombea wa chama husika kuengeliwa katika uchaguzi.

Nawakilisha.

 

Attachments

  • CCM.jpg
    CCM.jpg
    11.5 KB · Views: 1
  • ccm3.jpg
    ccm3.jpg
    6.7 KB · Views: 1
  • ccmb.jpg
    ccmb.jpg
    11.7 KB · Views: 1
Katika hali isiyo ya kaiwada jana CCM wamezindua rasmi kampeni uchaguzi 2020 zilizofanyika katika uwanja wa UHURU huku zikihuduhiriwa na uongozi mbali mbali wakiwemo wa serikali pia kama Msemaji mkuu wa Serikali. Kampeni hizoamabzo zilipewa jina la TAMSHA LA CCM zilichagizwa na wasanii mbali mbali wa mziki huku kila mmojawapo akihamasisha na kumkampenia Rais magufuli katika uchaguzi wa mwaka huu ambaye nae baadae aliwahutubia wahudhuriaji kwa njia ya Simu. Kwa Teknolojia ya sasa huitaji mgombea kuwa sehemu ya tukio unaweza kutumia mitandao pia kuhutubia kama alivyofanya jana.

Kwa hili lilofanykja jana wadau wengi wa siasa wanasubiri tamko au adhabu ya NEC dhidi ya CCM kwa tukio lilitokea jana. Kwa muijbu wa sheria za uchaguzi kuanza kampeni kabla ya mda wake adhabu yake ni mgombea wa chama husika kuengeliwa katika uchaguzi.

Nawakilisha.


Sitarajii Admin ufute hii thread kwani ni habari ya ukweli, imetokea jana na TAIFA zima limeshuhudia...
 
Katika hali isiyo ya kawaida jana CCM wamezindua rasmi kampeni uchaguzi 2020 zilizofanyika katika uwanja wa UHURU huku zikihuduhiriwa na viongozi mbali mbali wakiwemo wa Serikali pia kama Msemaji mkuu wa Serikali. Kampeni hizo ambazo zilipewa jina la TAMASHA LA CCM zilichagizwa na wasanii mbali mbali wa muziki huku kila mmojawapo akihamasisha na kumkampenia Rais magufuli katika uchaguzi wa mwaka huu ambaye nae baadae aliwahutubia wahudhuriaji kwa njia ya Simu. Kwa Teknolojia ya sasa huitaji mgombea kuwa sehemu ya tukio unaweza kutumia mitandao pia kuhutubia kama alivyofanya jana.

Kwa hili lilofanykja jana wadau wengi wa siasa wanasubiri tamko au adhabu ya NEC dhidi ya CCM kwa tukio lilitokea jana. Kwa muijbu wa sheria za uchaguzi kuanza kampeni kabla ya mda wake adhabu yake ni mgombea wa chama husika kuengeliwa katika uchaguzi.

Nawakilisha.


Hahaha, bora hao walizindua lakini wengine walianza kampeni bila hata kuzindua.
 
Sitarajii Admin ufute hii thread kwani ni habari ya ukweli, imetokea jana na TAIFA zima limeshuhudia...
ccm kwa akili zao zilivyo ndogo wao wanajaribu kuyafanya hao Kama kujibu nyomi za Lissu kila anapokanyaga huko mikoani..wanashindwa kujua kuwa mhe.lissu hatumii wasanii kujaza watu kila anapoenda ..Sasa Jana pamoja na yote wakaishia kupigana jukwaani na kushushana stejini ..Jana ilikuwa varangati ya aina yake huku msanii Temba akiwatolea uvivu polisi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hapo kipengele Cha NEC hakijakiukwa sababu ni ccm, NEC kuipa hukumu ccm Ni sawa na Takukuru kukamata ccm
 
Alafu walikuwa wanadai eti Lissu kaanza kampeni kabla ya wakati.
Mkuu Lissu amewavuruga kabisa na Sasa ile hoja ya Lumumba Buku7 kuwa Lissu ataenguliwa kwa sababu kaanza kampeni kabla ya wakati ndio imzikwa rasmi kwa tamasha Hilo.
Hivyo CCM wamebakiwa na mbinu mbili tu za ushindi.
1.jaribio jingine la kumuua.
Hili nalo Mungu alishakataa
2.Kuingiza Maboksi yaliyipigwa kura kwa Mgombea wa CCM.
Hili nalo itategemea na mazingira.
Mimi kila nikitazama naona CCM tayari wameshanasa,kuchomoka Ni kazi Sana.
 
Hapo kipengele Cha NEC hakijakiukwa sababu ni ccm, NEC kuipa hukumu ccm Ni sawa na Takukuru kukamata ccm
Kwa kifupi Ni kwamba CCM imekwisha ingia kwenye 18 ya wapiga kura.
Waislamu wanasema imekwisha elekea Kibra.
 
Baba akikisea, kausha! Ukijitutumua sana jitahidi kutumia lugha yenye zaidi ya hekima thabiti! Nazungumzia zaidi baba ambaye unamtegemea ktk kila bajeti zako za maendeleo!

Tunaposema ccm baba lao hivi huwa hamuelewi? Mbona vitu vipo wazi na ndivyo ktk ilivyo? Labda niulize ni sekta gani nchini isiyo chini ya ccm kwa mujibu wa katiba? Jamani acheni uchochezi kumtaka NEC amfokee baba yake, akijitahidi sana atatumia lugha maldhawa kwa unyenyekezu na hekima ya juu!
 
Umeandika Nini Sasa .
Kama walianza kampeni bila kizindua Basi hizo sio kampeni.
Ni mikutano ya kawaida tu ya Kisiasa.
Kwahiyo usipoweka neno kuzindua kwenye mikutano yako yote mpaka siku ya uchaguzi utahesabika hujafanya kampeni kwasababu hujazindua kampeni? Ila ulikua unafanya mikutano tu isiohusiana na uchaguzi?
Kampeni ni nini?
 
Back
Top Bottom