Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Kutoka uwanja wa Uhuru: Tamasha la CCM linalojumuisha wasanii Tanzania

Moto unaendelea kuwaka
😘😘
IMG_20200815_185451_186.jpg
IMG_20200815_185447_898.jpg
IMG_20200815_164028_3.jpg
IMG_20200815_185508_540.jpg
IMG_20200815_185459_217.jpg
IMG_20200815_164035_5.jpg
 
Moto ni moto
 
Hivi katibu wa chama si alisema CCM haita tumia wasanii?
 
Jamani wasanii wote hawa watalipwa na Serikali wala sio CCM Tv coverage zilizo live zitalipwa na Serikali na wala sio CCM


Ccm hawana pesa ya kulipa live coverage ya masaa zaidi ya 5 kwenye Tv na wasanii zaidi ya 200 huu ni uongo watalipwa na Serikali ya Magufuli.


Na hapa ndipo hoja yangu ya mwatumizi mabaya ya madaraka inapokuja

Inakuwaje pesa za walipa Kodi Kama Machinga, Mama ntilie wafanyabiashara, Wafanyakazi na wanafunzi ziende kulipa wasanii wakati ni juzitu Waziri mkuu kagundua bado Kuna shule watoto wanakaa chini.

Kuna vijiji toka tupate Uhuru hawajawai kuona taa ya umeme wakati CCM imetawala zaidi ya miaka 59?

Miaka 59 ya Uhuru unawalipa wasanii zaidi ya 200 wakati baadhi ya majiji Kama mwanza arusha na dar maji bado yanakatikati sehemu nyingine za jiji hayapatikani kabisa.

Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu na pia watanzania wanafanywa wapumbavu.

Imagine miji Kama sengerema, tarime, bunda, bariadi, ukelewe Magu bado Kuna uhaba wa maji wakati wako karibu na ziwa Victoria ambalo ndio ziwa kubwa zaidi barani afrika.

Leo wasanii wanatumika kuupigia kampeni utawala ulioshindwa kwa kutumia pesa za walipakodi ambazo zingepeleka maji maeneo yao Mazuzu wanashangilia.
 
Sasa wanamdanganya nani kila mtu anajua waliojaa hapo wamekwenda kuwaangalia wasanii,,tumeshuhudia fiesta na wasafi gestapo na efm mziki mnene wanajazaga watu na kumbuka huwa kiingilio ni pesa lkn huwa wanaingia na kukesha uwanjani ilitu kuwaona wasanii sasa leo wamepata shoo ya bure tena hakuna kiingilio wasije kwann??
 
Jamani wasanii wote hawa watalipwa na Serikali wala sio CCM Tv coverage zilizo live zitalipwa na Serikali na wala sio CCM


Ccm hawana pesa ya kulipa live coverage ya masaa zaidi ya 5 kwenye Tv na wasanii zaidi ya 200 huu ni uongo watalipwa na Serikali ya Magufuli.


Na hapa ndipo hoja yangu ya mwatumizi mabaya ya madaraka inapokuja

Inakuwaje pesa za walipa Kodi Kama Machinga, Mama ntilie wafanyabiashara, Wafanyakazi na wanafunzi ziende kulipa wasanii wakati ni juzitu Waziri mkuu kagundua bado Kuna shule watoto wanakaa chini.

Kuna vijiji toka tupate Uhuru hawajawai kuona taa ya umeme wakati CCM imetawala zaidi ya miaka 59?

Miaka 59 ya Uhuru unawalipa wasanii zaidi ya 200 wakati baadhi ya majiji Kama mwanza arusha na dar maji bado yanakatikati sehemu nyingine za jiji hayapatikani kabisa.

Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu na pia watanzania wanafanywa wapumbavu.

Imagine miji Kama sengerema, tarime, bunda, bariadi, ukelewe Magu bado Kuna uhaba wa maji wakati wako karibu na ziwa Victoria ambalo ndio ziwa kubwa zaidi barani afrika.

Leo wasanii wanatumika kuupigia kampeni utawala ulioshindwa kwa kutumia pesa za walipakodi ambazo zingepeleka maji maeneo yao Mazuzu wanashangilia.
Hii iwe chachu ya watanzania kupiga kura za hasira kuiondoa ccm madarakani
 
Unahisi kwamba ccm haiwezi kuwa na pesa mingi....
Unahisi kwamba wametumia pesa nyingi za serikali....
Huna uhakika pesa ngapi na zimelipwa toka akaunti gani.....
Kisha tunaweka conclusion na kujadili ...

Maana halisi ya thinking tank.
Jamani wasanii wote hawa watalipwa na Serikali wala sio CCM Tv coverage zilizo live zitalipwa na Serikali na wala sio CCM


Ccm hawana pesa ya kulipa live coverage ya masaa zaidi ya 5 kwenye Tv na wasanii zaidi ya 200 huu ni uongo watalipwa na Serikali ya Magufuli.


Na hapa ndipo hoja yangu ya mwatumizi mabaya ya madaraka inapokuja

Inakuwaje pesa za walipa Kodi Kama Machinga, Mama ntilie wafanyabiashara, Wafanyakazi na wanafunzi ziende kulipa wasanii wakati ni juzitu Waziri mkuu kagundua bado Kuna shule watoto wanakaa chini.

Kuna vijiji toka tupate Uhuru hawajawai kuona taa ya umeme wakati CCM imetawala zaidi ya miaka 59?

Miaka 59 ya Uhuru unawalipa wasanii zaidi ya 200 wakati baadhi ya majiji Kama mwanza arusha na dar maji bado yanakatikati sehemu nyingine za jiji hayapatikani kabisa.

Huu ni zaidi ya ujinga na upumbavu na pia watanzania wanafanywa wapumbavu.

Imagine miji Kama sengerema, tarime, bunda, bariadi, ukelewe Magu bado Kuna uhaba wa maji wakati wako karibu na ziwa Victoria ambalo ndio ziwa kubwa zaidi barani afrika.

Leo wasanii wanatumika kuupigia kampeni utawala ulioshindwa kwa kutumia pesa za walipakodi ambazo zingepeleka maji maeneo yao Mazuzu wanashangilia.
 
Wanatumia pesa zote hizo kushawishi wananchi kuchagua CCM wakati wamenunua ndege na kujenga flyover?
Alafu wanajitapa kuwa chama chao kinapendwa sana.

1:Katibu mkuu wa ccm... Uchaguzi huu sitaruhusu wasanii kutumika kupigia ccm kampeini maana wanalipwa pesa nyingi sana.

2:Katibu mwenezi wa ccm... Tunawahitaji wasanii watusaidie kwenye kampeini
 
Unahisi kwamba ccm haiwezi kuwa na pesa mingi....
Unahisi kwamba wametumia pesa nyingi za serikali....
Huna uhakika pesa ngapi na zimelipwa toka akaunti gani.....
Kisha tunaweka conclusion na kujadili ...

Maana halisi ya thinking tank.
Majizi
 
Baada ya haha matumizi ya hasara watakopa tena WB walipaji ni sisi raia
 
Back
Top Bottom