Atakuzaje? Nini maana ya huduma bora ama utawala bora ikiwa hazisemi sheria gani atazipitisha. Ndio hayo ya Cyberbill badala ya kutaja specific crimes, sheria inasema matumizi mabatya ya Mitandao.. Ni yapi hayo? oooh hapo tena utawasikia sijui Bulling! kwani walishindwa nini kuandika Bulling katika mitandao ndio crime! badala yake tunaona sheria inayotaka kumlinda Lowassa na mafisadi isiwe kigezo cha kuwabomoa.
Labda nikwambie ukweli, January Makamba nilimpenda kwa sababu ya exposure yake lakini ilipofika swala la kodi za simu, mara kaingia katika hii Cyberbill ili kumlinda Lowassa kiana huku tukiaminishwa ni team tofauti inanipa picha kwamba pengine he bet his chances as plan B itakavyokuwa japo EL anataka yeye tu na kama sio yeye basi hakuna mwingine..
Kwa hiyo, hii habari ya kutangaza sijui nitafanya hivi ama vile wakati unaomba nia ni kujaribu kuleta siasa za nchi za magharibi ambako rais ana wajibu mkubwa wa kujitofautisha katika Vipaumbele vyake akionyesha fedha zitatoka wapi na atakata mambo gani kutokana na bajeti inayotegemewa na wataalam wa mambo hayo wakayajadili.