Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Uchaguzi 2020 Kutoka viwanja vya CCM, Lindi: Membe atangaza nia ya Urais!

Membe anatangazia nia Lindi na kusema kuwa kwa sasa ni zamu ya Lindi kutoa rais. Tangu lini uongozi wa nchi hii ukaw wa zamu? CCM badala ya kujenga umoja wa taifa mnaanza na siasa za utengano. Tusishangae Membe akaamishia ikulu Lindi kwa vile mambo ni kwa zamu
 
Kwajinsi Nilivyotafakari Kwakina Na Kujitathimini Naona Kama Muheshimiwa Anajipigia Debe!
 
jana nlijiskia aibu sana kumsikiliza MEMBE alivyokuwa akipotea........yaan sikuamini membe ni mweupe kiasi kile
 
UKAWA tunasubiri kibaka yeyote atakayeteuliwa na magamba tumgaragaze, kifo cha mende
 
Kumbe anaabudu mizimu ... Nadhani wale waganga wa mbeya waliiporwa vifaa sasa wanacheka kupata mtu atakaye watetea
 
Huyu bogus kabisa, nilimsikiliza jana..yan hajui kitu yan...kichwani ni mweupe peeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakati Yeye Akijianda Kucheza Hizo Mechi Zake Tatu Ulizomtajia Hapo Mheshimiwa Profesa Sospeter Muhongo Kaisha Maliza Ligi Nzima Na Ndiyo Rais.

Kachelewa makusudi kama mbinu za medani.Anajua kuwa yeye si heavy weight kama akina Edward au Magufuli hata Mwigulu.Asingeweza kutangaza nia wakati mmoja na ma heavy weight.
 
kwa hii statement ifuatayo
Utawala bora
Akizungumzia utawala bora, alisema kuwa hawezi kukaa kimya kuona rushwa, ubadhirifu, ufisadi vikichukua nafasi katika utawala wake."Ninawatumia salamu mapema, sitakuwa na kigugumizi kwa wanaotesa Watanzania. Nitahakikisha Watanzania wanachukia rushwa na kutakuwa na sheria kali dhidi ya mtoa na mpokeaji rushwa.
Basi tayari ameshakosa sifa za kuwa kiongozi anayetakiwa.
 
Duh sasa Nyerere afurahie yeye kuwa rais, halafu Makongoro afurahiwe na nani? CCM bwana kila mtu anataka kusafiria nyota ya Nyerere
 
Duh sasa Nyerere afurahie yeye kuwa rais, halafu Makongoro afurahiwe na nani? CCM bwana kila mtu anataka kusafiria nyota ya Nyerere

Hivi Nyerere angekuwa hai angekubali Makongoro agombee urais.
 
Kwa hiyo anataka kuwa rais wa WAFU?

Samahani niko tu na sentensi sina jingine 'kwa hiyo anataka kuwa rais wa wafu' kadiri ya misahafu yote twajua Mungu Yu hai sasa kama yeye Yu hai yeye sio Mungu wa wafu bali wa wanaoishi'. Usipoteze akili kwa kufikiria chini fikiria tu yaliyo juu ambako yeye yupo. Na anatungojea wote.take care
 
Samahani niko tu na sentensi sina jingine 'kwa hiyo anataka kuwa rais wa wafu' kadiri ya misahafu yote twajua Mungu Yu hai sasa kama yeye Yu hai yeye sio Mungu wa wafu bali wa wanaoishi'. Usipoteze akili kwa kufikiria chini fikiria tu yaliyo juu ambako yeye yupo. Na anatungojea wote.take care

Kwa hiyo unamfananisha Nyerere na Mungu? Angesema Mungu atafurahi ingekuwa sawa kabisa sio mtu ambae hataongozwa nae afurahie uongozi wake? Kufa ni faida.
 
wanafiki wanajua mwalimu anapendwa na walalahoi wengi ndio maana wakija kwetu wanajidai wafuasi wazuri wa mwalimu wakati kila mara wanamkana mchana kweupe kwa matendo na kauli zao
 
Back
Top Bottom