Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mashaka na wale aliowatuma kuuliza kama anakubalika au la?
Walikuwa Wanashangilia Kubwa La Majini!
Membe ni mtia nia aliewa disappoint wapambe wake kuliko timu zingine zote ... hotuba ya matambiko na mizimu mwanzo mwisho ...
Walikuwa Wanashangilia Kubwa La Majini!
Sijui team yake huko waliko sasa wana hali gani maana kama mimi tu kanidissapoint vile, vipi wale wenyewe?
Huyu sifa kubwa iliyomfanya autake urais ni kwakuwa ni waziri wa mambo ya nje...kile mwigulu alichokiita urais wa mazoea!
Membe kanisikitisha sana badala ya kutangaza vipaumbele vyake na kuomba wana CCM wampendekeze apeperushe bendera ya CCM yeye kaishia kupambana na UKAWA utadhani Ukawa ndio wataingia kwenye NEC ya CCM, poor me.
Halafu kaanza kuomba kura za urais utadhani tayari yuko kwenye kampeni, anajuaje atapita kwenye chekeche lao kabla ya kuja kupambana na UKAWA?
Hiyo ni sentensi ya kichaa kichaa tu. Sasa kama serikali ya Kikwete ipo kwenye msitari sahihi, hiyo inayorudishwa "kwenye msitari huo" ni serikali ya nani?
Atakuzaje? Nini maana ya huduma bora ama utawala bora ikiwa hazisemi sheria gani atazipitisha. Ndio hayo ya Cyberbill badala ya kutaja specific crimes, sheria inasema matumizi mabatya ya Mitandao.. Ni yapi hayo? oooh hapo tena utawasikia sijui Bulling! kwani walishindwa nini kuandika Bulling katika mitandao ndio crime! badala yake tunaona sheria inayotaka kumlinda Lowassa na mafisadi isiwe kigezo cha kuwabomoa.
Labda nikwambie ukweli, January Makamba nilimpenda kwa sababu ya exposure yake lakini ilipofika swala la kodi za simu, mara kaingia katika hii Cyberbill ili kumlinda Lowassa kiana huku tukiaminishwa ni team tofauti inanipa picha kwamba pengine he bet his chances as plan B itakavyokuwa japo EL anataka yeye tu na kama sio yeye basi hakuna mwingine..
Kwa hiyo, hii habari ya kutangaza sijui nitafanya hivi ama vile wakati unaomba nia ni kujaribu kuleta siasa za nchi za magharibi ambako rais ana wajibu mkubwa wa kujitofautisha katika Vipaumbele vyake akionyesha fedha zitatoka wapi na atakata mambo gani kutokana na bajeti inayotegemewa na wataalam wa mambo hayo wakayajadili.