Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe anasema akitokea mtu akamwambia Dr.Slaa pumzika basi waachie na wengine wagombee atafukuzwa kama panya.
Teh teh teh teh teh
anaongea kama kanywa kiroba aina ya EMPIRE....naombeni mwamvuli.....anaapa kumlinda jk na familia yake
"Nilialikwa na chifu wa Zanaki na nilienda na kutambuikia kaburi la Mw. Nyerere, na niliongea na Mw. Nyerere kwenye kaburi lake na kumueleza kuwa aniruhusu nivivae viatua alivyomwachia Mwinyi,Mkapa,na JK."
By. Membe.
HahahahahaMembe anasema akitokea mtu akamwambia Dr.Slaa pumzika basi waachie na wengine wagombee atafukuzwa kama panya.
Teh teh teh teh teh