kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,340
- 12,055
kwenye uchumi naona ana idea moja na Mwigulu Nchemba
Kadesa
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwenye uchumi naona ana idea moja na Mwigulu Nchemba
"Nimetafakari sana kuhusu Urais nimeona
niombe,Nimejilinganisha na watu wengine
wote na baada ya kumpitia mmoja baada ya
mwingine nimeona Lindi tuna nafasi ya
Kuchukua na kuwa na kiongozi wa juu
Tanzania".
Huyu atakuwa Rais wa lindi ama Tanzania naombwa kujuzwa tafadhali..
"Nikichaguliwa kuwa rais lazma
nihakikishe wakina baba wanawaheshimu
wakina mama"
Huyuatakuwa Rais wa Familia zetu ama vipi.. mke nioe mm heshima unipangie ww
Hafai kuwa rais anajua watu Wa Lindi na mtwara ndo watampigia kura yupo kama anaomba ubunge
Mkewe mbayaaaaa, bora mama Salma.
Laiti ningekua mke wa mtangaza nia (yeyote) ningetoa speech ya hatariiii..lol
Wewe kilaza...ilani ya chama ndio itasema mgombea wa CCM atafanya nini...ila hayo ya sera uwa hayasemwi siku ya kutanga nia...acha ushamba.
Yaani huyu Membe ndo akiteuliwa kama mgombea wa CCM basi Vyama vya upinzani wakiungana waachie chama kimoja tu cha upinzani kitOWE raisi,HUYU Membe atashindwa vibaya sana labda waibe kura,ni mwepesi hana vision,hajui kuanalayse hoja zake zimejaa vijembe na kuamini mizimu mizimu tu
Mkewe mbayaaaaa, bora mama Salma.
Laiti ningekua mke wa mtangaza nia (yeyote) ningetoa speech ya hatariiii..lol
"Nimetafakari sana kuhusu Urais nimeona
niombe,Nimejilinganisha na watu wengine
wote na baada ya kumpitia mmoja baada ya
mwingine nimeona Lindi tuna nafasi ya
Kuchukua na kuwa na kiongozi wa juu
Tanzania".
Huyu atakuwa Rais wa lindi ama Tanzania naombwa kujuzwa tafadhali..
"Nikichaguliwa kuwa rais lazma
nihakikishe wakina baba wanawaheshimu
wakina mama"
Huyuatakuwa Rais wa Familia zetu ama vipi.. mke nioe mm heshima unipangie ww