Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Duh! Kwa halo waliyonayo magamba, mpaka sasa hakuna mgombea wa ccm kwenye majibu ya watanzania, ninachokiona mbele yao ni giza totoro.
Mpaka sasa sijaona Rais ajaye kupitia ccm.
Na wao hilo wanalijua kuwa urais mwaka huu sio wao