Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

🀣🀣🀣🀣🀣

Wabongo wamestuka now Kayumba ndio habari ya mjini. Hadi Naibu Waziri WA elimu last month aliongea
Tumechoka kuibiwa akili zinaturudi taratibu πŸ˜‚πŸ€£
 
100% Fact
 
Kwa hiyo umekubali kwamba Ems wanakuwa mashoga ila wao wa Ems wanakuwa Sio Malaya ila wao ndio wanatoa hela ili waliwe Sio?
 
Ufaulu wa juu sana unaupimaje, maana vilaza hata wakiambulia Division II huwa wanadai wamefaulu ufaulu wa juu sana.

Hakuna shule ambayo walimu hawaingii, topics zinasomwa 3 kati ya 14 which is 21% ya topics alafu shule ifaulishe sana. Darasa lifundishwe β…• ya muda alafu lifaulu sawa na lililofundishwa 100%?

Umesoma na watu ambao hawajafundishwa na wnegi ni vilaza watupu hadi sasa. Darasa kama hilo linakuwa na vibaka wa kutosha na mashabiki lialia wa Simba & Yanga.

Character za hiyo shule haina vyoo, wanafunzi wakitoka hapo hata ustaarabu wa kutumia choo hawana, wanachafua sana vyoo vya sink hadi ukubwani.

Na kwa sababu huna critical thinking na ulidumazwa na elimu tiamaji ya kule ndio maana bado una trauma unataka wanao wakasome shule hizohizo za kunya umesimama.
Barbarians ni kawaida yao mtu akiishi mazingira bora kumuona "amelelewa kimayai"
 
Kwa sababu pia shule za Kayumba ni nyingi sana Tanzania kulinganisha na Em ndo maana hayo pia unayaona na sio kwa sababu ya shule aliyosoma ila sababu ni malezi ya kwa wazazi wake na jamii inayomzunguka au unaamini kwamba Kayumba wanafundisha ushoga na umalaya mkuu?
 
Kwa hiyo umekubali kwamba Ems wanakuwa mashoga ila wao wa Ems wanakuwa Sio Malaya ila wao ndio wanatoa hela ili waliwe Sio?
Aggrey alikuwa anatoa hela aliwe?

Aunt Asu je?

Ant Suzy je?

Hata kujiita Aunt walishindwa, wakajiita Ant eti wanamaanisha "shangazi" sababu ya elimu ya hapa na pale.

Hawa wote walikuwa wadangaji wa kubangaiza kupata chochote kitu kwa kuuza puru zao. Wote kayumba hao, mtu asome Ahmes alafu ajiuze we uliona wapi.
 
Ooh, kwahiyo aliyesema EM kuna mashoga ndio aelewe sasa mashoga wanafundishwa wengi sana mitaani uko na wengine hata hawajawahi pata Division III ni zero na four za mwisho.

Hoja ya mashoga ikiletwa hapa wanaoingia matopeni ni kayumba.
 
Yani Dunia inakuelemea ukiwa katikati ya wanaojua Kingereza πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…sa hiyo huna wa kumlaumu. Uko peke yako, hujiwezi. Hadi Tell us about yourself inakutoa Jasho πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜…πŸ˜…
Kama lengo ni watoto wafahamu kiinglish, basi hakuna sababu ya kuwapeleka huko.
Sisi waafrika waajabu, mmekusanyika watanzania lakini mnafanya "presejtation" kwa kiinglish.

Nasema kama tunakwenda shule hixo ili kufahamu kiinglish, bado tuna safari ndefu ya kujikomboa.
 
Ooh, kwahiyo aliyesema EM kuna mashoga ndio aelewe sasa mashoga wanafundishwa wengi sana mitaani uko na wengine hata hawajawahi pata Division III ni zero na four za mwisho.

Hoja ya mashoga ikiletwa hapa wanaoingia matopeni ni kayumba.
Hawa watu wana vituko mkuu.

Ebu tuwaulize kuwa kati ya vingunguti, tandale, g mboto na vs masaki, oyster na mbezi, wapi utakuta mashoga wengi 🀣🀣🀣🀣

Hawajui ushoga unafundishwa mtaaani vitoto vikiwa vinacheza pamoja au kurubuniwa na wapita njiwa wa mtaaani
 
Sawa nimekubali wanao soma Ems wao wanakuwa mashoga ila tofauti Yao na WA Kayumba ni kwamba wa Ems wao wanakuwa wanaliwa bure ila WA Kayumba ndio wanakuwa wanaliwa Kwa hela so ndio?
 
100% Fact
 
Binafsi sijaelewa hii kampeni ni ya nini na ni kwa maslahi ya nani.

Je inaendeshwa na victims (watoto waliosomeshwa EMs wakalost kwenye maisha) au inaendeshwa na wazazi (wenye kupenda watu wafanane/wafuate mitazamo yao)
Mtu kasoma English medium anaona shule za kata ni bora zaidi kumpeleka mwanae. Kuna vitu vingine ni imaginable tu 😁😁😁
 
Ooh, kwahiyo aliyesema EM kuna mashoga ndio aelewe sasa mashoga wanafundishwa wengi sana mitaani uko na wengine hata hawajawahi pata Division III ni zero na four za mwisho.

Hoja ya mashoga ikiletwa hapa wanaoingia matopeni ni kayumba.
Ems ndio watoto wenye elements za kishoga WaPo wengi hata mbu akiingia darasani watoto wanalia darasa Zina na ni darasa la Saba Hao. Kayumba wengi wagumu
 
Nadhan umeelewa vibaya, hilo unalozungumza ni moja kati ya vitu vingi vizuri vinavyopatikana huko ukilinganisha na kwingine.
 
Una maanisha 2,000,000 kwa mwezi au LAKI MBILI?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…