Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

Kutokana na hii story yangu hauwezi nikuta humu nashabikia kutoa watoto EMs na ISs na kuwapeleka kayumba

Mnavyojadili hizo shule zote mkae mjue Tanzania imerithi mtaala mbovu wa kikoloni.
Shule yoyote utayosoma utakuwa zao la mtaala wa kikoloni.
Kingine wa EM wanakutana na Kayumba vyuoni na kazini.
Wawekezaji wa EM walisahau kuwekeza Vyuo vyenye ubora wa juu ili huyo wa EM aende huko. Sasa unasoma EM halafu unaenda SUA mnakutana na kayumba, baadae mnaajiriwa halmashauri kama maafisa waandamizi( what is 5he essence of em).
EM graduate waanze kujitofautisha kwa vitendo sio kwa maneno ktk sekta zote kama
Michezo
Sanaa
Sayansi
Uchumi
Ujasiliamali
Muziki
Academic
Nk
Mpaka sasa shule zina miongo 2 ila zao la hao wahitimu halijajidhihirisha bayana.
Watu wa EM lazima muwe analytical mnapotetea hoja zenu.
Kayumba ipo wazi , ubora wao ni wa kuunga unga. Naona EM ni kwenye matokeo tu ya NECTA what about street life ?
 
Bila kupepesa macho... Kama mtu una kipato kuanzia 200,000 kwa mwezi na unasomesha mtoto wako kayumba wewe ni mpumbavu na masikini wa akili na roho, wewe ni mbinafsi una roho mbaya ya kuua future ya mototo...
Hakuna namna unaweza kutoa hoja au sababu yoyote ile ya kumsomesha mtoto kayumba...
English medium hata ikiwa na walimu wa kubabaisha lakini haiwez kufanana kielimu na shule za kata...
WaTz mnapenda sana vya bure ndio maana mnakufa masikini na mnaishi maisha ya dhiki na tabu...
 
Mnavyojadili hizo shule zote mkae mjue Tanzania imerithi mtaala mbovu wa kikoloni.
Shule yoyote utayosoma utakuwa zao la mtaala wa kikoloni.
Kingine wa EM wanakutana na Kayumba vyuoni na kazini.
Wawekezaji wa EM walisahau kuwekeza Vyuo vyenye ubora wa juu ili huyo wa EM aende huko. Sasa unasoma EM halafu unaenda SUA mnakutana na kayumba, baadae mnaajiriwa halmashauri kama maafisa waandamizi( what is 5he essence of em).
EM graduate waanze kujitofautisha kwa vitendo sio kwa maneno ktk sekta zote kama
Michezo
Sanaa
Sayansi
Uchumi
Ujasiliamali
Muziki
Academic
Nk
Mpaka sasa shule zina miongo 2 ila zao la hao wahitimu halijajidhihirisha bayana.
Watu wa EM lazima muwe analytical mnapotetea hoja zenu.
Kayumba ipo wazi , ubora wao ni wa kuunga unga. Naona EM ni kwenye matokeo tu ya NECTA what about street life ?
Hakuna utofauti wowote kati ya hizo EMS na hizi za serikali uzuri zote hizi nazifahamu vyema labda hao International schools wakina ISM,IST,St.Constantine,Braeburn na wengine lakini hawa wa hapa hapa nyumbani hakuna tofauti mtu yoyote asikudanganye
 
Jambo lingine, ktk nchi yenye mifumo mibovu ya utendajj wahitimu wa EM wana nafasi gani. Kama wanaandaliwa kuwa smart kwa nini matendo ya hovyo kama uhujumu uchumi, uchawa, nk wanakuwemo na kutimiza malengo ya mafisadi.
Nini utofauti wa EM linapokuja suala la accountabilit, responsibility,ethics nk ?
Na kama wao wanaziishi hizo sifa mbona hatuoni mabadiriko kwenye sekta mbali mbali.
Unaajiriwa TRA au bandari nawe unajiunga na kundi la wahujumu ambazo ni tabia zilizojijenga huko kayumba.
Mimi nahitaji kujua kwa mapana. Niliwahi uliza kama kuna utafiti wowote uliowahi kufanyika kutoa ukweli wa wahitimu hao wawili kuanzia maadili, taaluma , maisha ya kijamii nk. Au tunatumia tu common sense kuhitimisha mada nyeti kama hii inayoumiza vichwa jamii nzima?
 
IT IS A SIMPLE STORY BUT VERY MEANINGFUL....

Kile kipindi cha shule za EM zimeanza kuingia bongo kiliwakuta wazazi wangu wamejaliwa na Mungu uwezo. Wakaamua wanitoe kayumba na kunipeleka EM.

Kufika kule wale walimu walishangaa ni namna gani napaswa kuwa darasa la sita, wakati hakuna ninachokijua cha msingi. Kwa hio nikawa recommended nirudie la tano.

Aisee nilipigwa msasa, nakumbuka nilikuwa the slowest kid in class lakini nakuja kumaliza darasa la saba, ndio nilikuwa the best of the best student, kunyakuwa zawadi zote na pia kupata fursa ya kwenda special school ya serikali, kwenda special school za serikali ndio kipindi hicho zimeanza kupoteza uimara nikakutana ufundishaji mmbovu sanaaa.

Hadi hii leo kuna namna maisha yangu yalikuwa postively affected kutokana na malezi bora niliopata pale EM. Ninachokumbuka kayumba ni mwalimu aji darasani ni kupiga stori mkisubiria kengele, kutoroka shule kwa kuruka madirishani na kuingia mtaani kutafuta maembe, kuogelewa mtoni, etc, wenginne ndio walitekwa na kuchunwa ngozi, kuanza kuvuta bangi/madawa, etc

So mtu anaeponda EMs namshangaa sanaaaaa!!!

SO TUFANYEJE!!!
Kutokana na ongezeko la uhitaji wa elimu bora, shule za EMs zimekuwa nyingi huku nyingi zikishusha bei ili uje tu for the sake of "ninasomesha mtoto EM" , kwa hio tafuta shule yenye record nzuri ya malezi na matokeo bila ya kujali ada.

Kwa issue ya employment: ni aibu sana elimu aliopata mtoto wako unaipimia pale tu atapopata ajira. Unemployment nj global issue. Ni aibu unakuta unakunywa bia kila jioni, umepangishia kahaba au una suka misuko ya 50k kila baada ya wiki 1 na nusu alafu unasema kusoma EM ni kupoteza muda kwa maana hatakuja kupata ajira.
Hakuna jipya... kilichoongezeka EM ni lugha tu ya kingereza, kwamba watoto wote wanafundishwa masomo kwa luga ya kingereza na hizi za kawaida kiswahili...kwahiyo unalipa 2 au 3 kwa mwaka kwa sababu ya mwanao afundishwe kukuita dady badala ya baba? Ni ulimbukeni..
 
Jambo lingine, ktk nchi yenye mifumo mibovu ya utendajj wahitimu wa EM wana nafasi gani. Kama wanaandaliwa kuwa smart kwa nini matendo ya hovyo kama uhujumu uchumi, uchawa, nk wanakuwemo na kutimiza malengo ya mafisadi.
Nini utofauti wa EM linapokuja suala la accountabilit, responsibility,ethics nk ?
Na kama wao wanaziishi hizo sifa mbona hatuoni mabadiriko kwenye sekta mbali mbali.
Unaajiriwa TRA au bandari nawe unajiunga na kundi la wahujumu ambazo ni tabia zilizojijenga huko kayumba.
Mimi nahitaji kujua kwa mapana. Niliwahi uliza kama kuna utafiti wowote uliowahi kufanyika kutoa ukweli wa wahitimu hao wawili kuanzia maadili, taaluma , maisha ya kijamii nk. Au tunatumia tu common sense kuhitimisha mada nyeti kama hii inayoumiza vichwa jamii nzima?
Umefikiri kwa kina sana... na hayo ndo maswali yakujiuliza
 
EM maksi zao.
USAFI -A
KUFAULU-A
TABIA-A

Kayumba Uchafu umezidi, yaani darasa linaweza nuka kabisa kipindi cha 1. Mazingira machafu , kutokuenda shule nk. Haya huwa nayaona wazi ila yale ya kina niluouliza hPo juu, mwenye kujua anipe jibu.
 
Wanywa komoni wanakwambia hii shule ambayo wanafunzi hawana vyoo wanajisaidia kwenye makuti huku wakiwa hatarini kudumbukia kwenye kinyesi, ni shule ya maana sana kuliko English Medium ambapo mazingira ya kujistri yanazingatiwa maana mzazi analipia huduma bora.
20250119_010158.jpg

Kisha wanadai hawa wanafunzi ambao hata madawati ya kukalia hawana, wana ufaulu sawa na wale wa English Medium.

Hapa kuna mayaya/mabeki tatu/wadada wa kazi za ndani wa kutosha hapa
Uhaba wa madawati.JPG
Pia unaambiwa na hao wavivu kwamba shule kama hii ni sawa na EM na mwanafunzi wa hapa kiakili, kisaikolojia, kimaarifa anatoka sawa
FB_IMG_1737237527126.jpg

Zaidi ya hao, unaambiwa na hao wanywa kimpumu kwamba wako radhi watoto wao wasomee mazingira kama haya kuliko walipie ada EM
FB_IMG_1737237828828.jpg


Hao wazazi ni ukoo wa wale Waafrika ambao zamani babu zao walikuwa waganga na wachawi. Wamerithi akili za kichawi vizazi hadi vizazi na ndio haohao baba akiwa na biashara hataki kabisa watoto wake waziguse, hataki waendeshe gari lake wala walala vizuri kwake. Utasikia "kajenge ya kwako ulale na kuamka saa mbili; usiguse gari langu, nunua lako; sitaki kabisa mguse hiki, nawewe tafuta cha kwako".

Hawa wavivu wana ugonjwa kuamini shida na mateso ndio maisha halali, wako radhi wahonge malaya uko vilabuni ilhali watoto wao wanasoma shule ambazo wanafunzi wanajisaidia vichakani.
 
IT IS A SIMPLE STORY BUT VERY MEANINGFUL....

Kile kipindi cha shule za EM zimeanza kuingia bongo kiliwakuta wazazi wangu wamejaliwa na Mungu uwezo. Wakaamua wanitoe kayumba na kunipeleka EM.

Kufika kule wale walimu walishangaa ni namna gani napaswa kuwa darasa la sita, wakati hakuna ninachokijua cha msingi. Kwa hio nikawa recommended nirudie la tano.

Aisee nilipigwa msasa, nakumbuka nilikuwa the slowest kid in class lakini nakuja kumaliza darasa la saba, ndio nilikuwa the best of the best student, kunyakuwa zawadi zote na pia kupata fursa ya kwenda special school ya serikali, kwenda special school za serikali ndio kipindi hicho zimeanza kupoteza uimara nikakutana ufundishaji mmbovu sanaaa.

Hadi hii leo kuna namna maisha yangu yalikuwa postively affected kutokana na malezi bora niliopata pale EM. Ninachokumbuka kayumba ni mwalimu aji darasani ni kupiga stori mkisubiria kengele, kutoroka shule kwa kuruka madirishani na kuingia mtaani kutafuta maembe, kuogelewa mtoni, etc, wenginne ndio walitekwa na kuchunwa ngozi, kuanza kuvuta bangi/madawa, etc

So mtu anaeponda EMs namshangaa sanaaaaa!!!

SO TUFANYEJE!!!
Kutokana na ongezeko la uhitaji wa elimu bora, shule za EMs zimekuwa nyingi huku nyingi zikishusha bei ili uje tu for the sake of "ninasomesha mtoto EM" , kwa hio tafuta shule yenye record nzuri ya malezi na matokeo bila ya kujali ada.

Kwa issue ya employment: ni aibu sana elimu aliopata mtoto wako unaipimia pale tu atapopata ajira. Unemployment nj global issue. Ni aibu unakuta unakunywa bia kila jioni, umepangishia kahaba au una suka misuko ya 50k kila baada ya wiki 1 na nusu alafu unasema kusoma EM ni kupoteza muda kwa maana hatakuja kupata ajira.
ulipata malezi ya kimayai mayai...Sisi tumesoma Kayumba schools from the scratch tumelelewa through the hardest ways possible. Tumefaulu mpk kumaliza elimu ya juu. School yetu walimu walikuwa hawaingii kabisa mwaka unaisha kwenye somo mmefundishwa topics 3 tu katika topics 14-15 mlizotakiwa kujifunza na bado tulifaulu ufaulu wa juu kabisa
 
Back
Top Bottom