Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka Ulaya na Marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na kula raha, Dodoma(makao makuu) jicho lao liwe Arusha.

Hata vyombo vya dola Arusha vikipewa amri na huyo jamaa isiyoeleweka visifanye jambo kubwa litakaloathiri usalama bila kuwasiliana na Dodoma.

Najua jamaa akifika ataanza kutoa amri za vitisho, karaha kwa kila mtu aliyepo Arusha.

Hii watalii hawapendi. Ni angalizo tu
 
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka ulaya na marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na kula raha, Dodoma(makao makuu) jicho lao liwe Arusha.

Hata vyombo vya dola Arusha vikipewa amri na huyo jamaa isiyoeleweka visifanye jambo kubwa litakaloathiri usalama bila kuwasiliana na Dodoma. Najua jamaa akifika ataanza kutoa amri za vitisho, karaha kwa kila mtu aliyepo Arusha.

Hii watalii hawapendi. Ni angalizo tu
Hoja yako ina mantiki kubwa
 
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka ulaya na marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na kula raha, Dodoma(makao makuu) jicho lao liwe Arusha.

Hata vyombo vya dola Arusha vikipewa amri na huyo jamaa isiyoeleweka visifanye jambo kubwa litakaloathiri usalama bila kuwasiliana na Dodoma. Najua jamaa akifika ataanza kutoa amri za vitisho, karaha kwa kila mtu aliyepo Arusha.

Hii watalii hawapendi. Ni angalizo tu
Usiwe na hofu, ubalozi wa Marekani unafatilia kwa ukatibu nyendo zake.
Hata hivyo Dar kuna kesi imeripotiwa tayari polisi ya kumtishia kifo mfanyabiashara mmoja mdogo wake Ghalib wa GSM.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ac
Mkoa wa Arusha ni mkoa wa kitalii, unapokea maelfu ya watalii kutoka ulaya na marekani. Ni vyema basi, kutokana na mabadiliko ya kiutawala, na watalii huwa hawapendi rabsha, wamekuja kupumzika na kula raha, Dodoma(makao makuu) jicho lao liwe Arusha.

Hata vyombo vya dola Arusha vikipewa amri na huyo jamaa isiyoeleweka visifanye jambo kubwa litakaloathiri usalama bila kuwasiliana na Dodoma. Najua jamaa akifika ataanza kutoa amri za vitisho, karaha kwa kila mtu aliyepo Arusha.

Hii watalii hawapendi. Ni angalizo tu
Acha unyumbu wewe, hii ni ramli chonganishi, Makonda siyo mjinga kiasi hicho
 
Na kwa vile Makonda amekuwa blacklisted na serikali ya marekani watalii toka Marekani watapewa angalizo na serikali yao kuwa makini wawapo Arusha kwa kuwa Governor wa Arusha ni muuaji ambaye haruhusiwi kukanyaga ardhi ya Marekani.
 
Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama haruhusiwi kwenda nchi zao.

Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.

Wangempeleka Mwanza.
 
Mie natamani kuona kama na huko atapeleka drama zake, na itakuaje.....
images (7).jpeg
 
Back
Top Bottom