Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Fikra za kitumwa kana tena inawezekana zinatoka kwa kijana ni hatari sana kwa maendeleo ya Taifa. Netanyahu mwenyewe kawambia Marekani kuhusu kusitisha vita na Hamas ikiwa wamebakisha robo tu ya batalion kuwatokomeza. Kasema hata Marekani wenyewe wasingekuli kuwaacha ISIS nusu bila kuhakikisha wamewatokomeza.
 
Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.

Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.

Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Naunga mkono hoja, japo sio muuaji kwasababu hajashitakiwa popote!, ila ni kweli sio busara kumpeleka Geneva yetu mtu mwenye makandokando.

Huyu Makonda ana nyota kali sana!.
Wanabodi,
Ukiisikia simulizi za historia ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, tangu kuzaliwa, alipotoka, mapito aliyopitia na hadi sasa alipo, na kuifikiria picha ya anapokwenda, baada ya kusoma makala hii na kusikiliza masimulizi haya, mtakubaliana na mimi kuwa, huyu Paul Makonda ni mpakwa Mafuta wa Bwana, hivyo safari yake na mapito yake ni kazi ya Bwana Mungu mwenyewe katika kuonyesha uweza wake kwa wanadamu, na anaweza kuikamilisha safari ya Makonda kwa kuufanya ule muujiza mkubwa wa "Jiwe Walilolikataa Waashi, Litafanywa Kuwa Jiwe Kuu la Pembeni"!.

Kuna vitu kwa binadamu tuu wa kawaida haviwezekani, lakini kwa Mungu vinawezekana, hivyo kwa Mungu kunauwezekano kabisa wa "Jiwe walilolikataa waashi, likafanywa kuwa jiwe kuu la pembeni!".

Huwezi jua jameni, Mwacheni Mungu aitwe Mungu!.

Paskali
Safari ya mafanikio ya huyu kijana, inaendelea..., sasa ni Arusha, soon atarejea DSM, 2025 atashika jimbo na kuingia mjengoni.

Nampongeza huyu Mwamba, Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa yaani
RC, ila ilikuwa sio mkoa wa Arusha , ambao ni Geneva ya Africa!, kumpeleka mtu mwenye makandokando ya kunyimwa visa ya Marekani, kunaweza kusiwe na matokeo chanya kwa watalii wa Marekani ambao ndio watalii matajiri zaidi baada ya Waarabu!. Angeweza kurejeshwa DSM au mkoa mwingine wowote lakini sio Arusha!.

Ila kwa maoni yangu, hii teua, tengua, hamish, na tumbua ya Rais Samia, is not healthy at all!, it's a sign of weakness mahali!.

My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.

Japo siungi mkono hizi teua leo badilisha kesho, Waenezi 5, ndani ya miaka 5!
1. Polepole
2. Shaka
3. Mjema
4. Makonda
5. The upcoming one!.

Hi sio picha nzuri!, ila nasisitiza kuna tatizo kidogo mahali Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda tuendelee kumpa muda, ata stabilize.

Hongera Paul Makonda kurudishiwa u RC, very soon itathibitika huyu aliyepo kwenye u RC wa Mkoa wetu hawezi!, soon utarudishwa RC DSM, jiji litanyooka!.
P
P
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... [emoji3525][emoji3525]
Ndugu yangu Makonda ni national figure, halafu ana talent kubwa sana. Mtu ambaye alitamka kuwa Samia awe VP na ikawa, siyo wa mchezo.

Kwahiyo hawa wanaomjadili kwa dharau imekula kwao. Jamaa 2025 anaingia bungeni na anachukua uwaziri mapema sana
 
Nasubiria kuona ama sikia tangazo watalii wameongezeka kati ya mwezi April na atakapohamishwa mkoa ama kupewa cheo ingineee
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Huyo kwani aliwahi kukana shutuma zake za uhalifu alizozifanya pale Mawingu na sehemu nyingine?

Aliwahi kumuomba msamaha Warioba?

Huyo ni mhuni muhalifu tu.

Kwenye nchi za wenzetu alitakiwa awe ananyea debe.
 
Naona CHADEMA mnaweweseka sana na uteuzi wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.

Hii ni kwa kuwa mnatambua namna alivyo mchapa kazi na kiongozi mbunifu sana.hivyo mnafahamu kuwa ndio mwisho wa siasa zenu za janja janja .

Kaeni kwa kutulia maana mwamba akishakanyaga ardhi hiyo ya Arusha mtaona moto na mchaka mchaka wa maendeleo utakavyowaka hapo Arusha.
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Hao ni wapumbavu wa CHADEMA. Wanamuogopa Makonda kama Simba.
 
• Yani wasipo mtaja, wanaona kama wanakereketwa hivi...

• Makonda nyota yake ipo juu sana, inaangaza pande zote za Dunia.
Wasichokijua ni kuwa huwezi kumchafya mtu ambaye Mungu anamtumia kwa ajili ya watu wake.
 
Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.

Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.

Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Na sisi Mwanza hatumtaki, tunamchomea nguru akae benchi
 
Nchi hii ina vyeo vingi mpaka vya kuwapa wahalifu.
 
Hao ni wapumbavu wa CHADEMA. Wanamuogopa Makonda kama Simba.
Kama kuna mtu anawanyima raha wapinzani hapa bongo basi ni Makonda. Yaani hawa jamaa huwa hawependi mtu mchapakazi au anayependwa na wananchi yaani wana wivu wa ajabu na vijitabia vya kususasusa. Mpaka huwa najiuliza hivi hawa wanejiandaa kweli kushika dola au huwa wanaigiza, tu huwezi kuwatofautisha na wanaharakati yaani kutwa kulalamika na kudandia matukio pbadala ya kusema wakipewa dola watalifanyia nini taifa.
 
Back
Top Bottom