Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Watanzania acheni kuziita chuki tuhuma za viongozi toka kwa wananchi.• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..
• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... [emoji3525][emoji3525]
So sad sana...... Hakuna asiye mkosaji hapa Duniani, kuna viongozi wahalifu kuliko makonda.Hao ni wapumbavu wa CHADEMA. Wanamuogopa Makonda kama Simba.
Jiji la Arusha litaendelea kupaa kimaendeleo na kuendelea kuwa kivutio cha watalii Barani Afrika na katika ukanda huu wa Afrika mashariki.watalii kutoka Marekani wataendelea kumiminika na kuingia ndani ya jiji la Arusha kutoka kila pembe ya Dunia ikiwepo Marekani yenyewe.watalii wanachohitaji ni amani,usalama,huduma nzuri na urahisi wa kufika.mambo ambayo serikali yetu imeweka na kuandaa vyema kabisa mazingira kwa ajili ya watalii kwa kuboresha miundombinu ya barabara kuelekea maeneo ya watalii,uwekezaji wa hoteli nzuri na zenye hadhi ya kimataifa ni wa uhakika hapa Nchini,usalama,amani na utulivu ni mkubwa sana hapa nchini.Naunga mkono hoja, japo sio muuaji kwasababu hajashitakiwa popote!, ila ni kweli sio busara kumpeleka Geneva yetu mtu mwenye makandokando.
Huyu Makonda ana nyota kali sana!.
Safari ya mafanikio ya huyu kijana, inaendelea..., sasa ni Arusha, soon atarejea DSM, 2025 atashika jimbo na kuingia mjengoni.
Nampongeza huyu Mwamba, Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa yaani
RC, ila ilikuwa sio mkoa wa Arusha , ambao ni Geneva ya Africa!, kumpeleka mtu mwenye makandokando ya kunyimwa visa ya Marekani, kunaweza kusiwe na matokeo chanya kwa watalii wa Marekani ambao ndio watalii matajiri zaidi baada ya Waarabu!. Angeweza kurejeshwa DSM au mkoa mwingine wowote lakini sio Arusha!.
Ila kwa maoni yangu, hii teua, tengua, hamish, na tumbua ya Rais Samia, is not healthy at all!, it's a sign of weakness mahali!.
My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.
Japo siungi mkono hizi teua leo badilisha kesho, Waenezi 5, ndani ya miaka 5!
1. Polepole
2. Shaka
3. Mjema
4. Makonda
5. The upcoming one!.
Hi sio picha nzuri!, ila nasisitiza kuna tatizo kidogo mahali Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda tuendelee kumpa muda, ata stabilize.
Hongera Paul Makonda kurudishiwa u RC, very soon itathibitika huyu aliyepo kwenye u RC wa Mkoa wetu hawezi!, soon utarudishwa RC DSM, jiji litanyooka!.
P
P
Kabisa, tuendelee kuchoma samaki aina ya nguru, ambaye ukimchoma, mtaa wa kumi watasikia harufu yakeNa kwa vile Makonda amekuwa blacklisted na serikali ya marekani watalii toka Marekani watapewa angalizo na serikali yao kuwa makini wawapo Arusha kwa kuwa Governor wa Arusha ni muuaji ambaye haruhusiwi kukanyaga ardhi ya Marekani.
• Sijakataa hoja yako....Watanzania acheni kuziita chuki tuhuma za viongozi toka kwa wananchi.
Wacheni viongozi wajitetee wenyewe
Wewe ndiye mhalifuNchi hii ina vyeo vingi mpaka vya kuwapa wahalifu.
Tupe hesabu tangu amechaguliwa kuwa RC tumepoteza watalii wangapiTushapoteza Watalii tayari , Kwaheri Royo Tuwa !
Wewe kama nani? Wewe mwaka huu ni lazima ufe na chuki zako.maana utaendelea kumwona Mheshimiwa Makonda akichanja mbuga katika mioyo ya watanzania kila uchwaoNa sisi Mwanza hatumtaki, tunamchomea nguru akae benchi
Kama atachanja mbuga, ni sawa, achanje tu, hata kuni, lakini akae mbugani, sio katika ofisi za ummaWewe kama nani? Wewe mwaka huu ni lazima ufe na chuki zako.maana utaendelea kumwona Mheshimiwa Makonda akichanja mbuga katika mioyo ya watanzania kila uchwao
Mpelekee salamu Lema kuwa akiendelea na kazi yake ya awali ya wizi wa magari ataishia pabaya sana ,maana mwamba Makonda hana mzaha wala kufuga weziTushapoteza Watalii tayari , Kwaheri Royo Tuwa !
Wavuta bangi aina yako hamuwezi mkabadilisha chochote kile zaidi ya kutakiwa tu muanze kufanya kazi halali na kuachana na biashara kama aliyokuwa akifanya Lema ya utapeli wa MagariMashambulizi dhidi ya Makende ni makali sana, hayatakoma, usijihangaishe kuzuia mafuriko
Kaa kwa kujiandaa kuwa miaka kadhaa mbele atakuwa ndiye Rais wetuKama atachanja mbuga, ni sawa, achanje tu, hata kuni, lakini akae mbugani, sio katika ofisi za umma
Ikulu sio pango la wezi na wauaji, kuwa maarufu alikuwa Lowassa, but the system (not the voters) said Noooo!!! The system must feed the public with the best candidate for public interestKaa kwa kujiandaa kuwa miaka kadhaa mbele atakuwa ndiye Rais wetu
Naona CHADEMA nzima mmechaganyikiwa kwa sasa maana mnajuwa kuwa mwakani hampati kitu katika uchaguzi mkuuNgoma ikilia sana.......
yuko free kwenda huko uliko kutaja kwa sasa bila mbambamba yoyote...Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Utake usitake mamilioni ya watanzania wameshaamua kumpeleka ikulu Mwamba Mwenyewe MakondaIkulu sio pango la wezi na wauaji, kuwa maarufu alikuwa Lowassa, but the system said Noooo!!!