To nail it, huyu anatuhumiwa na serikali ya America kwamba alidhulumu haki za watu wasio na hatia kuishi. Alituhumiwa na Lissu kwamba alihusika kwenye lile tukio la kupigwa risasi zaidi ya 30. Alivamia kituo cha redio clouds fm. Juzi hapa ametuhumiwa kumtishia mtu maisha. Etc• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..
• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Hakuna upinzani Arusha bali kulikuwa na wahuni na matapeli aina ya Lema , ambao sasa mwisho wao umefika .Ukiwa na mchezaji mzuri muweke kwenye nafasi yake ili timu pinzani uifunge. Makonda mzuri kwa mabao ya mkono. Sasa Arusha ni mkoa wa wapinzani ili ccm ishinde Arusha inahitaji bao la mkono.
shutuma ni nini kwan...Huyo kwani aliwahi kukana shutuma zake za uhalifu alizozifanya pale Mawingu na sehemu nyingine?
Aliwahi kumuomba msamaha Warioba?
Huyo ni mhuni muhalifu tu.
Kwenye nchi za wenzetu alitakiwa awe ananyea debe.
Mwamba Makonda anapelekwa ikulu na watanzania , ambao wameamua kumpa nchi hii aiongoze baada ya Rais Samia kumaliza muhula wa piliWagombea wote walioipania ikulu, hakuna hata mmoja aliyeingia kama anavyotaka
kwan tuhuma ni nin bana mkubwa...To nail it, huyu anatuhumiwa na serikali ya America kwamba alidhulumu haki za watu wasio na hatia kuishi. Alituhumiwa na Lissu kwamba alihusika kwenye lile tukio la kupigwa risasi zaidi ya 30. Alivamia kituo cha redio clouds fm. Juzi hapa ametuhumiwa kumtishia mtu maisha. Etc
Km ye angetulia kuna mtu angekuwa na muda naye, kiherehere chake ndiyo kinamfanya afuatiliwe. Mbn hakuna aliyekuwa anamfuatilia Mongela• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..
• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Sasa asubiri, mawaziri wote alikiwa anawatukana, sijui nani atampa backup, pale kuna chuma emmanuel nchimbi, hawezi kuruhusu Rais ambaye hataruhusiwa kuingia marekani kwa kuwa ana tuhuma za mauaji, atahudhuriaje vikao vya umoja wa mataifa? Litakuwa linafukuzwa tu kila mahali walipo marafiki wa marekaniMwamba Makonda anapelekwa ikulu na watanzania , ambao wameamua kumpa nchi hii aiongoze baada ya Rais Samia kumaliza muhula wa pili
Wee jamaa unafikiria Kwa upeo sana, huyu hata mwanza hafai labda mikoa iliyolala huko ruvuma mtwara songwe, njombeTatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Naona CHADEMA mnaweweseka sana na uteuzi wa Mheshimiwa Mwamba Mwenyewe Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara.Hii ni kwa kuwa mnatambua namna alivyo mchapa kazi na kiongozi mbunifu sana.hivyo mnafahamu kuwa ndio mwisho wa siasa zenu za janja janja .
Kaeni kwa kutulia maana mwamba akishakanyaga ardhi hiyo ya Arusha mtaona moto na mchaka mchaka wa maendeleo utakavyowaka hapo Arusha.
Kama kuna mtu alinyang'anya mali za wajane na yatima ,mwamba kafika ,kama ulidhurumu ardhi ya mtu makonda hajui habari za mahakama unakabidhi mali na mahakamani unakwenda ,Arusha imepata baba wa haki .Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
hizo mambo za marekani ziliisha na mwanae ni raia wa huko wa kuzaliwa na kwahivyo anaweza kwenda at any time...Sasa asubiri, mawaziri wote alikiwa anawatukana, sijui nani atampa backup, pale kuna chuma emmanuel nchimbi, hawezi kuruhusu Rais ambaye hataruhusiwa kuingia marekani kwa kuwa ana tuhuma za mauaji, atahudhuriaje vikao vya umoja wa mataifa? Litakuwa linafukuzwa tu kila mahali walipo marafiki wa marekani
Jibu ni moja tu Mwamba Makonda ni Rais wa Tanzania kuanzia 2030Sasa asubiri, mawaziri wote alikiwa anawatukana, sijui nani atampa backup, pale kuna chuma emmanuel nchimbi, hawezi kuruhusu Rais ambaye hataruhusiwa kuingia marekani kwa kuwa ana tuhuma za mauaji, atahudhuriaje vikao vya umoja wa mataifa? Litakuwa linafukuzwa tu kila mahali walipo marafiki wa marekani
Ukiwa na mchezaji mzuri muweke kwenye nafasi yake ili timu pinzani uifunge. Makonda mzuri kwa mabao ya mkono. Sasa Arusha ni mkoa wa wapinzani ili ccm ishinde Arusha inahitaji bao la mkono.
Natarajia kuona tena maamuzi ya mabadiliko kiokoa jahazi linaloelekea kuzama🤔Tushapoteza Watalii tayari , Kwaheri Royo Tuwa !
• Kumbe ni tuhuma 🤔🤔.. Nikahisi labda kuna ushaidi wowote????To nail it, huyu anatuhumiwa na serikali ya America kwamba alidhulumu haki za watu wasio na hatia kuishi. Alituhumiwa na Lissu kwamba alihusika kwenye lile tukio la kupigwa risasi zaidi ya 30. Alivamia kituo cha redio clouds fm. Juzi hapa ametuhumiwa kumtishia mtu maisha. Etc
Umeanza kumpigia kampeni arudi dar kwamba chalamila hafanyi kazi au sioNaunga mkono hoja, japo sio muuaji kwasababu hajashitakiwa popote!, ila ni kweli sio busara kumpeleka Geneva yetu mtu mwenye makandokando.
Huyu Makonda ana nyota kali sana!.
Safari ya mafanikio ya huyu kijana, inaendelea..., sasa ni Arusha, soon atarejea DSM, 2025 atashika jimbo na kuingia mjengoni.
Nampongeza huyu Mwamba, Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa yaani
RC, ila ilikuwa sio mkoa wa Arusha , ambao ni Geneva ya Africa!, kumpeleka mtu mwenye makandokando ya kunyimwa visa ya Marekani, kunaweza kusiwe na matokeo chanya kwa watalii wa Marekani ambao ndio watalii matajiri zaidi baada ya Waarabu!. Angeweza kurejeshwa DSM au mkoa mwingine wowote lakini sio Arusha!.
Ila kwa maoni yangu, hii teua, tengua, hamish, na tumbua ya Rais Samia, is not healthy at all!, it's a sign of weakness mahali!.
My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.
Japo siungi mkono hizi teua leo badilisha kesho, Waenezi 5, ndani ya miaka 5!
1. Polepole
2. Shaka
3. Mjema
4. Makonda
5. The upcoming one!.
Hi sio picha nzuri!, ila nasisitiza kuna tatizo kidogo mahali Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda tuendelee kumpa muda, ata stabilize.
Hongera Paul Makonda kurudishiwa u RC, very soon itathibitika huyu aliyepo kwenye u RC wa Mkoa wetu hawezi!, soon utarudishwa RC DSM, jiji litanyooka!.
P
P
AnaKihere here gani mkuu..??? Niweke na mimi wazi kidogo 🤝Km ye angetulia kuna mtu angekuwa na muda naye, kiherehere chake ndiyo kinamfanya afuatiliwe. Mbn hakuna aliyekuwa anamfuatilia Mongela