Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
To nail it, huyu anatuhumiwa na serikali ya America kwamba alidhulumu haki za watu wasio na hatia kuishi. Alituhumiwa na Lissu kwamba alihusika kwenye lile tukio la kupigwa risasi zaidi ya 30. Alivamia kituo cha redio clouds fm. Juzi hapa ametuhumiwa kumtishia mtu maisha. Etc
 
Ukiwa na mchezaji mzuri muweke kwenye nafasi yake ili timu pinzani uifunge. Makonda mzuri kwa mabao ya mkono. Sasa Arusha ni mkoa wa wapinzani ili ccm ishinde Arusha inahitaji bao la mkono.
Hakuna upinzani Arusha bali kulikuwa na wahuni na matapeli aina ya Lema , ambao sasa mwisho wao umefika .
 
Huyo kwani aliwahi kukana shutuma zake za uhalifu alizozifanya pale Mawingu na sehemu nyingine?

Aliwahi kumuomba msamaha Warioba?

Huyo ni mhuni muhalifu tu.

Kwenye nchi za wenzetu alitakiwa awe ananyea debe.
shutuma ni nini kwan...

nchi za wenzenu gani bana acha hadaa....
 
Wagombea wote walioipania ikulu, hakuna hata mmoja aliyeingia kama anavyotaka
Mwamba Makonda anapelekwa ikulu na watanzania , ambao wameamua kumpa nchi hii aiongoze baada ya Rais Samia kumaliza muhula wa pili
 
kwan tuhuma ni nin bana mkubwa...

si just tuhuma tu...
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Km ye angetulia kuna mtu angekuwa na muda naye, kiherehere chake ndiyo kinamfanya afuatiliwe. Mbn hakuna aliyekuwa anamfuatilia Mongela
 
Mwamba Makonda anapelekwa ikulu na watanzania , ambao wameamua kumpa nchi hii aiongoze baada ya Rais Samia kumaliza muhula wa pili
Sasa asubiri, mawaziri wote alikiwa anawatukana, sijui nani atampa backup, pale kuna chuma emmanuel nchimbi, hawezi kuruhusu Rais ambaye hataruhusiwa kuingia marekani kwa kuwa ana tuhuma za mauaji, atahudhuriaje vikao vya umoja wa mataifa? Litakuwa linafukuzwa tu kila mahali walipo marafiki wa marekani
 
Wee jamaa unafikiria Kwa upeo sana, huyu hata mwanza hafai labda mikoa iliyolala huko ruvuma mtwara songwe, njombe
 

Kama kuna mtu alinyang'anya mali za wajane na yatima ,mwamba kafika ,kama ulidhurumu ardhi ya mtu makonda hajui habari za mahakama unakabidhi mali na mahakamani unakwenda ,Arusha imepata baba wa haki .
 
hizo mambo za marekani ziliisha na mwanae ni raia wa huko wa kuzaliwa na kwahivyo anaweza kwenda at any time...
 
Jibu ni moja tu Mwamba Makonda ni Rais wa Tanzania kuanzia 2030
 
Kwahyo tunapambana na upinzani au tunapambana kuleta maendeleo?
Ukiwa na mchezaji mzuri muweke kwenye nafasi yake ili timu pinzani uifunge. Makonda mzuri kwa mabao ya mkono. Sasa Arusha ni mkoa wa wapinzani ili ccm ishinde Arusha inahitaji bao la mkono.
 
Ndio vizuri tukaone moto, ujue mafahari wawili hawawezi kukaa zizi moja!! Hapo ni Gambo vs DAB sisi kazi yetu kuchekea pembeni 😂😂😂
 
hizo mambo za marekani ziliisha na mwanae ni raia wa huko wa kuzaliwa na kwahivyo anaweza kwenda at any time...
Kule alienda kununua mbegu za kiume ili mkewe apandikizwe mimba, alizalia hapahapa
 
• Kumbe ni tuhuma 🤔🤔.. Nikahisi labda kuna ushaidi wowote????

• Hao wamarekani ni wanafiki tu, tangu lini wakaipenda Africa??
 
Umeanza kumpigia kampeni arudi dar kwamba chalamila hafanyi kazi au sio
 
Km ye angetulia kuna mtu angekuwa na muda naye, kiherehere chake ndiyo kinamfanya afuatiliwe. Mbn hakuna aliyekuwa anamfuatilia Mongela
AnaKihere here gani mkuu..??? Niweke na mimi wazi kidogo 🤝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…