Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Kwa nini atuhumiwe yeye na sio Nape, Makamba au mtu mwingine yeyote!? Wamchukie yeye kwa kipi!?• Kumbe ni tuhuma 🤔🤔.. Nikahisi labda kuna ushaidi wowote????
• Hao wamarekani ni wanafiki tu, tangu lini wakaipenda Africa??
Chiembe huna hakili wewe, endelea kuwaza kupitia makalio.....Sasa asubiri, mawaziri wote alikiwa anawatukana, sijui nani atampa backup, pale kuna chuma emmanuel nchimbi, hawezi kuruhusu Rais ambaye hataruhusiwa kuingia marekani kwa kuwa ana tuhuma za mauaji, atahudhuriaje vikao vya umoja wa mataifa? Litakuwa linafukuzwa tu kila mahali walipo marafiki wa marekani
Unapigia Mbuzi gita.Sijui kwa nini raisi hakushauriwa kwenye hili. Makonda angeweza kupewa ukuu wa mkoa lakini sio Arusha. Yeye ana doa tayari la kuondoa haki ya watu kuishi na sio yeye Wala serikali waliowahi kukana hili. Hata Magu pamoja na kuwa kipenzi chake, hili alilichukulia kwa uzito na akamtoa Makonda kwenye executive. Mama ameingia mkenge ambao ni uchafu kwa hakika kwake.
Vingenvyo hii iwe ni exit door kwa huyu jamaa baada ya kuvurunda kule kwenye uenezi. Strategically, anaweza kuwa amepelekwa Arusha kama njia kuondokea moja kwa moja. Magu pia aliitumia ya namna hii alipomuacha akagombea ubunge na baada ya hapo akasema Kila mkuu wa mkoa aliyeacha ukuu wa mkoa na kwenda kuomba ubunge, akikosa ndio kwa heri hatarudi kuwa mkuu wa mkoa.
MnooNalo hili neno
Wenzetu hawana dogo
Thamani ya Mmarekani Moja kwao ni kubwa
Naunga mkono hoja,huyo angeenda Mwanza then yule Mtanda ndio aende Arusha au abadilishane Kituo na RC wa Mbeya aje Arusha then Mtanda aende Mbeya na Makonda aende Arusha.Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Ana kashfa na inaweza kuathiri Utalii na image ya serikali• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..
• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Wangemfunda tuu na kumpa jadidu za rejea.Naunga mkono hoja, japo sio muuaji kwasababu hajashitakiwa popote!, ila ni kweli sio busara kumpeleka Geneva yetu mtu mwenye makandokando.
Huyu Makonda ana nyota kali sana!.
Safari ya mafanikio ya huyu kijana, inaendelea..., sasa ni Arusha, soon atarejea DSM, 2025 atashika jimbo na kuingia mjengoni.
Nampongeza huyu Mwamba, Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa yaani
RC, ila ilikuwa sio mkoa wa Arusha , ambao ni Geneva ya Africa!, kumpeleka mtu mwenye makandokando ya kunyimwa visa ya Marekani, kunaweza kusiwe na matokeo chanya kwa watalii wa Marekani ambao ndio watalii matajiri zaidi baada ya Waarabu!. Angeweza kurejeshwa DSM au mkoa mwingine wowote lakini sio Arusha!.
Ila kwa maoni yangu, hii teua, tengua, hamish, na tumbua ya Rais Samia, is not healthy at all!, it's a sign of weakness mahali!.
My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.
Japo siungi mkono hizi teua leo badilisha kesho, Waenezi 5, ndani ya miaka 5!
1. Polepole
2. Shaka
3. Mjema
4. Makonda
5. The upcoming one!.
Hi sio picha nzuri!, ila nasisitiza kuna tatizo kidogo mahali Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda tuendelee kumpa muda, ata stabilize.
Hongera Paul Makonda kurudishiwa u RC, very soon itathibitika huyu aliyepo kwenye u RC wa Mkoa wetu hawezi!, soon utarudishwa RC DSM, jiji litanyooka!.
P
P
• Kwenye masuala ya siasa, tuhuma ni kitu cha kawaida sana... Labda kama mgeni hapa Tz.Kwa nini atuhumiwe yeye na sio Nape, Makamba au mtu mwingine yeyote!? Wamchukie yeye kwa kipi!?
Kama unadhani upinzani hawampendi think again, ndani ya chama chenyewe ndio maadui zake wakubwa walipo, unajua kilichomtoa kwenye uenezi?Kama kuna mtu anawanyima raha wapinzani hapa bongo basi ni Makonda. Yaani hawa jamaa huwa hawependi mtu mchapakazi au anayependwa na wananchi yaani wana wivu wa ajabu na vijitabia vya kususasusa. Mpaka huwa najiuliza hivi hawa wanejiandaa kweli kushika dola au huwa wanaigiza, tu huwezi kuwatofautisha na wanaharakati yaani kutwa kulalamika na kudandia matukio pbadala ya kusema wakipewa dola watalifanyia nini taifa.
• Kuna mwananchi yeyote amefaidika na huo utalii Zaidi ya viongozi wa CCM ??Ana kashfa na inaweza kuathiri Utalii na image ya serikali
Hata mashuleni au mtaani wapo mademu wa namna hiyo ila ukitazama kwa makini hali hiyo uitaka wenyewe ujiona wao ndio wao hata akinunua kiatu anataka kiwe gumzo mtaa mzima.Sasa makonda wako yuko pele kwa matazamio baada ya kuvurunda uenezi kwahiyo akae pale huku akijifunza kwa wakuu wa mikoa wengine bila hivyo atafyekelewa mbali, mara ooh! sitaki kuona lubega mjini, mwende mkavae suruali, mara ooh! Kutembea na visu ni marufuku, nimsikia kwenye bomba.• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..
• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda kwa madai ya kuhusika katika uvunjifu kamili wa haki za binadamu na tuhuma nyingine. Pia vikwazo hivyo amewekewa mke wake Makonda, Mary Felix Massenge.Tatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Wewe una upumbavu kuanzia kichwani Hadi matrakooo ,napoyeza mda kujadiliana na wewe• Kuna mwananchi yeyote amefaidika na huo utalii Zaidi ya viongozi wa CCM ??
• Au utaniambia waliojenga hotels ndo wanafaidikia(wananchi)??
Makonda ana kesi ya kutishia kuuaTatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
• Naona unatoa ya moyoni!Hata mashuleni au mtaani wapo mademu wa namna hiyo ila ukitazama kwa makini hali hiyo uitaka wenyewe ujiona wao ndio wao hata akinunua kiatu anataka kiwe gumzo mtaa mzima.Sasa makonda wako yuko pele kwa matazamio baada ya kuvurunda uenezi kwahiyo akae pale huku akijifunza kwa wakuu wa mikoa wengine bila hivyo atafyekelewa mbali, mara ooh! sitaki kuona lubega mjini, mwende mkavae suruali, mara ooh! Kutembea na visu ni marufuku, nimsikia kwenye bomba.