Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao


Atawanyoosha wenye kibri na jeuri
 
Lucas Mwashamba "Swahiba" wako anakuja Chuga omba appointment ya kuonana naye ofisini kwake upate hata posho ya uchawa wako hapa JF.
 
• Kumbe ni tuhuma 🤔🤔.. Nikahisi labda kuna ushaidi wowote????

• Hao wamarekani ni wanafiki tu, tangu lini wakaipenda Africa??
Kwa nini atuhumiwe yeye na sio Nape, Makamba au mtu mwingine yeyote!? Wamchukie yeye kwa kipi!?
 
Chiembe huna hakili wewe, endelea kuwaza kupitia makalio.....
 
Unapigia Mbuzi gita.

Hakuna alichofanya ambacho Wakubwa hawajui.

Na ndio wanamwamini kama kijaana mtiifu kwenye mambo yao.

Sisi wenye maumivu ndio tunaona hafai
 
Sio tu kumpeleka Arusha bali kachemsha kumrudisha kwenye uongozi yule mtu hastahili kabisa kuwa kiongozi wa ngazi yoyote si kwenye chama wala serikalini.
 
Naunga mkono hoja,huyo angeenda Mwanza then yule Mtanda ndio aende Arusha au abadilishane Kituo na RC wa Mbeya aje Arusha then Mtanda aende Mbeya na Makonda aende Arusha.
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Ana kashfa na inaweza kuathiri Utalii na image ya serikali
 
Wangemfunda tuu na kumpa jadidu za rejea.
 
Kwa nini atuhumiwe yeye na sio Nape, Makamba au mtu mwingine yeyote!? Wamchukie yeye kwa kipi!?
• Kwenye masuala ya siasa, tuhuma ni kitu cha kawaida sana... Labda kama mgeni hapa Tz.

• hii nchi inahitaji viongozi gaidi.. Ila hawa wa kila kitu kupiga makofi kila saa, hawafai hata kwa bure.
 
Kama unadhani upinzani hawampendi think again, ndani ya chama chenyewe ndio maadui zake wakubwa walipo, unajua kilichomtoa kwenye uenezi?
 
Ana kashfa na inaweza kuathiri Utalii na image ya serikali
• Kuna mwananchi yeyote amefaidika na huo utalii Zaidi ya viongozi wa CCM ??

• Au utaniambia waliojenga hotels ndo wanafaidikia(wananchi)??
 
• Mda mwingine tujaribu kupunguza chuki..... Sioni faida yakumusema huyu jamaa kila sekunde..

• Ndani ya Siku mbili hizi, Ni Zaidi ya Threads 10, anajadiliwa makonda... ☹️☹️
Hata mashuleni au mtaani wapo mademu wa namna hiyo ila ukitazama kwa makini hali hiyo uitaka wenyewe ujiona wao ndio wao hata akinunua kiatu anataka kiwe gumzo mtaa mzima.Sasa makonda wako yuko pele kwa matazamio baada ya kuvurunda uenezi kwahiyo akae pale huku akijifunza kwa wakuu wa mikoa wengine bila hivyo atafyekelewa mbali, mara ooh! sitaki kuona lubega mjini, mwende mkavae suruali, mara ooh! Kutembea na visu ni marufuku, nimsikia kwenye bomba.
 
Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imemwekea vikwazo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Christian Makonda kwa madai ya kuhusika katika uvunjifu kamili wa haki za binadamu na tuhuma nyingine. Pia vikwazo hivyo amewekewa mke wake Makonda, Mary Felix Massenge.
Taarifa iliotolewa Ijumaa na wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeelezea tuhuma hizo ni uvunjaji wa haki za binadamu, ukandamizaji wa siasa za upinzani, ukandamizaji wa haki ya kujieleza na mikusanyiko, na kuwakandamiza watu ambao wanatengwa katika jamii.
Wizara ya Mambo ya Nje inasema ina taarifa zakuaminika kuwa Makonda alihusika katika uvunjaji wa amani katika nafasi yake kama mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam.
Sheria ya Marekani inaagiza kuwa, katika hali ambayo Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani ana habari za kuaminika kwamba maafisa wa nchi nyingine wamehusika na ufisadi mkubwa au ukiukaji wa haki za binadamu, watu hao na wana familia wa karibu hawataruhusiwa kuingia nchini Marekani.
Marekani inasema ina wasiwasi kwa kuendeleakukosekana uzingatiaji wa haki za binadamu na utawala wa sheria nchini Tanzania.
Hii ni pamoja na hatua ya serikali ya Tanzania inayochukua kukandamiza uhuru wa kujieleza, uhuru wa kujiunga na chama, uhuru wa mikutano ya Amani; kulengwa kwa watu wanaotengwa na vyama vya upinzani vya siasa, na hatarisho la maisha ya watu.
 
• Kuna mwananchi yeyote amefaidika na huo utalii Zaidi ya viongozi wa CCM ??

• Au utaniambia waliojenga hotels ndo wanafaidikia(wananchi)??
Wewe una upumbavu kuanzia kichwani Hadi matrakooo ,napoyeza mda kujadiliana na wewe
 
Makonda ana kesi ya kutishia kuua
Hizo ndo sera za ccm Kuuana , juzi walitaka kumuua sendeka kisa anatetea wamasai wa ngorpngoro
 
• Naona unatoa ya moyoni!

• Ebu nipe sababu za msingi kwa nini unamchukia makonda?? Pengine naweza kukuelewa unachotetea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…