Kutokana na mabadiliko ya kiutawala Arusha, serikali ikae makini ili jamaa asisababishe wazungu wakatoa travel advisory kwa raia wao

Wewe una upumbavu kuanzia kichwani Hadi matrakooo ,napoyeza mda kujadiliana na wewe
β€’ πŸ€”πŸ€”πŸ€”, Umefaidika nini baada ya kunitukana????.

β€’ Sizani kama huu uzi ni wa matusi, kama unahoja naomba tuendelee,!!!!
 
Makonda atawanyoosha tu wenye kibri na jeuri huko Arusha, kiarusha ni kidogo sana kwa Dar and Mwz cities ila kana mambo, kuna watu wenye kibri sana, majambazi, wala unga na mauwaji ya wivu wa kimapenzi.
 
Hakuna lolote

Aende Arusha kisha arudi benchi.

Han akili huyu

Ile tamko pale uwanja wa ndege wakati wa kupokea ndege ndio kulikomwondoa kwenye uenezi.
usie mtaka unaletewa hadi getini pako......
 
Magufuli alikuwa na mwenezi mmoja tu miaka yote 5! Ila huyu sasa sijui shida ni nini? Watu wanarekebishika pia sio kuhamisha hapa kwa Makonda kachemka vibaya mno mda utaongea!
 
CHADEMA mmepagawa kabisa yaani,Threads 100 za makonda mshaziandika tangu apelekwe Arusha. Mbona hamjiamini..?
 
Duh!...
 
Hao mnaowaita wahuni mnawaogopa hata kufanya uchaguzi huru na WA haki hamtaki. Mnawaogopa wahuni na matapeli, kwani wananchi si ndio wanaowachagua!
Ni mwisho wenu mliokuwa mnafanya kazi ya ujambazi na utapeli wa magali.nilazima mtafute kazi halali kwa sasa
 


Wewe Paschal kwenye hii nchi hata uongozi wa ku brash viatu hutapata, mnafiki mkubwa wewe.
 
Ile ndioo safari nipe miezi kadhaa langempa ubalozi tu
 
Makonda atawanyoosha tu wenye kibri na jeuri huko Arusha, kiarusha ni kidogo sana kwa Dar and Mwz cities ila kana mambo, kuna watu wenye kibri sana, majambazi, wala unga na mauwaji ya wivu wa kimapenzi.
Hana ubavu huo, aliweza wakati wa utawala wa jiwe, sasa hivi amechekecha kwenye chama tu wakam-flush, sasa hivi anatembea kwenye uzi mwembamba anajua mambo yako halijojo
 


Hapa wamelurupuka
 
Ile ndioo safari nipe miezi kadhaa langempa ubalozi tu
Hiyo sio tiba! Anaweza kumpa Ubalozi siku akitua nchini kugombea Urais wananchi watamtaka na hautaamini! Hata Rais mteule wa Senegal alifungwa lakini wapi! Achana na Mungu!
 
Ni mwisho wenu mliokuwa mnafanya kazi ya ujambazi na utapeli wa magali.nilazima mtafute kazi halali kwa sasa
Kazi halali unafanya wewe kulamba makalio ya makonda inatosha. By the way, wanakulipa shilingi ngapi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…