Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo like wazi walishaampa kadi nyekundu kutoruka.kwenda kwao
View attachment 2951148
Kutoka maktaba
Kwaiyo wamcheka mama hakufikiri sawasaw kuhu hiliukiwa kiongozi unatakiwa uwe na sifa za kuona mbali,sio kubahatisha mambo.
Usiwe na hofu, ubalozi wa Marekani unafatilia kwa ukatibu nyendo zake.
Hata hivyo Dar kuna kesi imeripotiwa tayari polisi ya kumtishia kifo mfanyabiashara mmoja mdogo wake Ghalib wa GSM.
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Naunga mkono hii paragraph yako. Ndani ya kipindi kifupi Makonda alikuwa tayari ameanza kuwafanya wananchi walo wengi (wapiga kura) waanze kuipenda CCM. Alikuwa ameanza kuifufua CCM ndani ndani ya mioyo ya wapiga kura.My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.
Lile ni DEBE tupu..nilimdharau kipindi kile yeye na Baba yake,walivyoharibu UCHAGUZI wa Marudio UBUNGE Ukonga kwa kushirikiana jeshi la POLICE ,baads ya Matokeo akabebwa na POLICE mabegani wakiwa na Soda zao,wakishangilia..NILISHANGAAMakonda hana jipya
Lema bhana,bado hujasemaTatizo la kufikiria kisiasa badala ya kufikiria kitaifa. Makonda siyo muda wenzetu wa Kenya watawakumbusha wageni kwamba huyu yuko kwenye list ya Marekani na Ulaya kama Muuaji na haruhusiwi kwenda nchi zao.
Hii haitasaidia wageni wetu wa Arusha na Mbuga zetu.
Wangempeleka huko Mwanza kwao.
Mpaka Rais anaigiza, unadhani hayo maigizo yalikuwa ya nini?Wewe na wajinga wenzio mnawaona wazungu kama miungu fulani sio?
Acheni shobo,wazungu wamekuja kutalii halafu wewe unaanza kuwaletea upumbavu wenu wa siasa za ccm na chadema!
Mtu yeyote aliyesimamia ualifu lazima achukiwe, Makonda, Sabaya na mwingine sikuizi simsikii wote hao ni genge moja hawana sifa za kupewa uongozi nchi hii.• Naona unatoa ya moyoni!
• Ebu nipe sababu za msingi kwa nini unamchukia makonda?? Pengine naweza kukuelewa unachotetea.
Ule ni mkoa wa kitalii angepelekwa Katavi huko au Simuyu hakuna ambaye angemfuatilia, ule mkoa una maslai mapana kwa taifa.CHADEMA mmepagawa kabisa yaani,Threads 100 za makonda mshaziandika tangu apelekwe Arusha. Mbona hamjiamini..?
Umeuma na kupulizia.Naunga mkono hoja, japo sio muuaji kwasababu hajashitakiwa popote!, ila ni kweli sio busara kumpeleka Geneva yetu mtu mwenye makandokando.
Huyu Makonda ana nyota kali sana!.
Safari ya mafanikio ya huyu kijana, inaendelea..., sasa ni Arusha, soon atarejea DSM, 2025 atashika jimbo na kuingia mjengoni.
Nampongeza huyu Mwamba, Paul Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa yaani
RC, ila ilikuwa sio mkoa wa Arusha , ambao ni Geneva ya Africa!, kumpeleka mtu mwenye makandokando ya kunyimwa visa ya Marekani, kunaweza kusiwe na matokeo chanya kwa watalii wa Marekani ambao ndio watalii matajiri zaidi baada ya Waarabu!. Angeweza kurejeshwa DSM au mkoa mwingine wowote lakini sio Arusha!.
Ila kwa maoni yangu, hii teua, tengua, hamish, na tumbua ya Rais Samia, is not healthy at all!, it's a sign of weakness mahali!.
My honest opinion, CCM haina mtu mwingine yeyote ambaye ni the best kwenye uenezi zaidi ya Makonda!.
Ili Rais Samia afanikiwe, asiwasikilize sana wahafidhina wa CCM, sometimes
wanamuingiza chaka!, kama hili la kumuondoa Makonda kwenye uenezi na kumpelekea RChuga , kiukweli kabisa hapa wahafidhina wa CCM, wamemuingiza Mama chaka.
Japo siungi mkono hizi teua leo badilisha kesho, Waenezi 5, ndani ya miaka 5!
1. Polepole
2. Shaka
3. Mjema
4. Makonda
5. The upcoming one!.
Hi sio picha nzuri!, ila nasisitiza kuna tatizo kidogo mahali Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda tuendelee kumpa muda, ata stabilize.
Hongera Paul Makonda kurudishiwa u RC, very soon itathibitika huyu aliyepo kwenye u RC wa Mkoa wetu hawezi!, soon utarudishwa RC DSM, jiji litanyooka!.
P
P
Amevurunda uenezi hata uandike vp.Naunga mkono hii paragraph yako. Ndani ya kipindi kifupi Makonda alikuwa tayari ameanza kuwafanya wananchi walo wengi (wapiga kura) waanze kuipenda CCM. Alikuwa ameanza kuifufua CCM ndani ndani ya mioyo ya wapiga kura.
Ukubwa wa mafuriko ya wanananchi (nyomi) kwenye kila sehemu alikopita, hayajawahi kutokea kwa kiongozi yo yote wa chama cho chote cha kisiasa hapa Tanzania. Alikuwa amewafunika kwa mbali hao wapinzani wakuu kutoka chama cha chadema na tulishuhudia mapovu yakiwatoka, wakilalamikia uteuzi wake kwenye nafasi hiyo. Waliona kuwa mtu huyu atatokomeza ndoto zao za kuchukua dola 2025.
Hivyo kuondolewa kwa Makonda kwenye kazi hiyo, chadema sasa wameshusha pumzi sambamba na wale wanafiki wa ccm waliotajwa na Makonda kwenye hotuba yake kwenye mapokezi ya ile ndege. Ni jambo jema kwake kwani alichokuwa anafanya ilikuwa inahatarisha usalama wake. Ni bora sana kwa usalama wake kwa kupewa hicho cheo cha uRC. Rais kafanya jambo jema kwake. Ni mchapakazi mzuri kwenye kila eneo. Tutegemee uchumi wa mkoa wa Arusha kupaa zaidi. Arusha haitakuwa na kero za wananchi, haitakuwa na mafisadi, wabadhilifu wa fedha za serikali, Arusha itakuwa ni ya Hapa Kazi Tu na kuwa mfano kwa mikoa mingine.
CCM ina watu wengj wenye vipaji vya kila aina. Hivyo wala hakuna wasi wasi wa kupata muenezi wa chama mwenye kiwango kikubwa. Na bado kwenye final match kuelekea uchaguzi wa 2025 ikibidi bado Makonda anaweza kupelekwa front line.
Wazungu wakiambiwa jamaa ndiye alishiriki kwenye tukio la Antipas, unadhani watakaa kwa amani mahoteliniWewe na wajinga wenzio mnawaona wazungu kama miungu fulani sio?
Acheni shobo,wazungu wamekuja kutalii halafu wewe unaanza kuwaletea upumbavu wenu wa siasa za ccm na chadema!