Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

Kutokana na ukosefu sugu wa vitendea kazi Jeshi la Zimamoto napendekeza liunganishwe na kiwe kitengo ndani ya jeshi la polisi

Tatizo kubwa ni uelewa kuna watu hawaelewi kuwa Jeshi la zimamoto ndio Jeshi lenye Askari wachache Tanzania kuliko vikosi vyote na ndio pia kitengo chenye vitendea kazi vichache pia kingine ni Jeshi lililoanzishwa hivi karibuni ilipaswa tuwe na Askari wakutosha na magari ya kutosha,Suala la Moto siyo lele mama kabisa.ambaye ashawahi shuhudia au jaribu kuona situation inavyokuwa na vifaa vya Askari wetu hawezi laumu. Tujikite kwnye hoja na siyo kukosoa
 
Back
Top Bottom