Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

 
Sasa kwenye awamu hii ndo mtajua mzungu ni nani
 
Sasa tulia uone kama kelele hazitakunyima au zitakunyima usingizi
 
Aliwadanganya " msiwe na wasiwasi uchaguzi utakuwa huru na wa haki"
Wamemjua ni muongo sasa yanini kujihusisha na muongo?!

Ni bora kumuacha afie mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…