ngalelefijo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 3,966
- 2,596
Kelele za mlango hazitatunyima usingizi...Tupo huru kama wao! Wao wana yao nasi tuna yetu! Na kila nchi itajijengea mustakabali wake wa aina ya maisha wayatakayo bila shinikizo licha ya kiherehere cha vizabizabina na mamluki wasiojiamini na kujiona kuwa hawajakamilika bila ya misaada ama hadi washikwe makalio na wadhungu!UNAJITUTUMUA UKWELI UNAUJUA.KAHARIBU SANA