Kutokuwepo kwa Mabalozi wa US, UK, Sweden, Norway, Denmark, EU, Japan na South Korea leo Dodoma, kuna nini kinaendelea jikoni?

"Kutongoza"?
Nani anajua kutongoza. Jiwe mwenyewe angejua kutongoza asingevuruga uchaguzi. Hajui kabisa kutongoza. Yeye ni kuvamia tu!

Na huyo aliyeteuliwa uwaziri wa 'kutongoza', sura yake pekee, hasa ile mijicho na mdomo unaotoa mate, pamoja na kujua kujinyenyekesha akiwa mbele ya hao wakubwa, hana ushawishi wa kuweza kumtongoza yeyote.
 
Mimi naweza kukuoa na kulisha ukoo wako wote
Wewe ni dada tunakujua,uko na mbele plus nyuma,wahi kwa jobu kuna nafasi yako moja.
Labda uje nikulishe wewe mumeo,watoto na ukoo wako na mumeo.punguani wahed
 
Kuna kitu nahisi kinakuja, na si cha kawaida kwa kweli. Sie tulioibiwa Uchaguzi nafikiri huu ni muda sahihi kuchukua popcorn na kuangalia huu mchezo unavyozidi kuwa mtamu
Nakumbuka ulisema Lisu lazime awe raisi, vipi amekuwa raisi?

Nakumba ulisema maandamano lazima yatokee, vipi yametokea?

Sasa hivi unasema kunakitu unahisi kinakuja, ndugu yangu utahisi sana na pole sana kwa kuhisi.

Nakushauri ukimaliza Popcorn, agizia mahindi ya kukoboa kula yakiisha agizia na pumba za mahindi kula shushia na maji ya bariiiiiiiidi.
 
CCM hawata liona hilo. Maana ni vipofu, viziwi ila wamejaliwa mdomo wa kuongea na ubongo wa mende. Kuna siku watashtuka lakini itakuwa too late.
Ujambazi unapitia hatua zifuatazo:

1. Udokozi nyumbani kwenu: mtu anaanzia nyumbani kwao kusogeza vitu, nyumbani wakishastuka na kuficha vitu vyao mdokozi anahamia nyumba jirani.

2. Udokozi mtaa wa pili
3. Udokozi mtaa wa mbali: watu wakishashtuka, mdokozi anageuka kuwa
4. Mwizi nyumbani kwao, kisha wizi nyumba ya pili
5. Mwizi mitaani. Watu akishaushtukia wizi na kuwa waangalifu kwa kuweka milango, makomeo, ukuta na magirili ya vyuma kwenye nyumba zao mwizi atageuka kuwa
6. Jambazi: Jambazi haibi bali anachukua kwa nguvu hata kama unaona mchana kweupe au umelala gizani. Baada ya hatua hii inafuata hatua ya
7. Kifo kwa ujambazi

Wizi wa kura nyakati za uchaguzi upepitia hatua zote hizi 6 kazoro ya 7 tu. Demokrasia ya Tanzania imepitia hatua zote 6 imebakiza ile ya 7 tu ya (kupigana wenyewe, au kupelekana the Hugue, au kuwekewa vikwazo au au mwafaka wa kitaifa)
 
Chadema mnaumiza vichwa kila dakika ilimradi tu mjifaliji
 
Hahahahahha kweli kabisaa
 
Ila tundu lissu aweza kutongozaa[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Kwani nani aliyeshinda kweli uchaguzi wa mwaka huu???
Mngeacha kura halali ndo zihesabiwe na kutangzwa ndo ungeona Kama Lissu ameshinda au hajashindwa
 
Je ni mazoea ama ni Sheria imeelekeza lazima wawepo.
Si sheria in fact...

Ni utamaduni ama mazoea kwa namna hiyo hiyo ulivyosema...

Lakini "culture" ama mazoea mazuri yanapokata ghafla bila maelezo au taarifa, lazima mtu uanze kuwa na mashaka ya kuanza kufikiri labda umemkosea partner wako mliozoea kufanya naye jambo fulani jema...

Kwa maoni yangu, hii ndiyo mantiki ya hoja ya mleta mada...
 
Lissu atashinda ,sawa bavicha
 
Mimi sijui uzito wa mchuuzi Amsterdam, lakini hakuna sehemu aliyoweza kuwa best seller.Wachuuzi wanaoisaidia Tanzania wako wengi tena wenye nguvu kama China,Israel, USA.South Africa,Qatar n.k
Kila mchuuzi ana maslahi binafsi,hapendwi mtu ni maliasili yake.
Ndio maana nchi kama Saudia yenye kukiuka haki za binadamu inalambwa miguu na mataifa vinara wa Demokrasia kama Uingereza, Marekani, Japan,kwa sababu ya mafuta yake.
 
Kwa kifupi jangwa la COVID-19 Limeziathili sana Nchi za Marekani,na ulaya. Tena zimeshuka kiuchumi haziwezi kutoa msaada Tz,sisi tunapaswa kuzisaidia.Live long JPM Life president
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…