Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Hilo beberu lenu amsterdam na shoga hawawezi kuitisha Tanzania. Kama nawe muoga Kama Lema nenda ukimbizini Kenya.CCM hawata liona hilo. Maana ni vipofu, viziwi ila wamejaliwa mdomo wa kuongea na ubongo wa mende. Kuna siku watashtuka lakini itakuwa too late.