Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Na bado,Bila ya kuwa na ushirikiano wa Kimataifa, Tanzania si chochote Duniani..
Hata kama mnaringia hizo rasilimali,mkitengwa hizo rasilimali mtamuuzia Nani?
Hata wakiingizwa tu kingi kama Kongo,Somalia,Sudani kusini, rasilimali zinachotwa bureeeeeeeeeeee.....kwa mabomu na mtutu........huku mmeikimbia nchi kabisa.
Huyo dikteta keshawaingiza kingi.