Kutoweka uzalendo kwa nchi: CCM haiwezi kuepuka lawama

Kawe Alumni, Kwahiyo muko tayari kuwapiga watu risasi, kuwateka,kuwapa kesi za kuhujumi uchumi zisizo na ushahidi kama kweli unaipenda ccm na hii nchi yako uliyozaliwa kwanini musimshauri huyo bosi wenu kwanza muanze na kangi yule mzee wa ninja kule bungeni kwani yy ndie wakwanza aliyekua akiitetea hii nchi kushinda wewe na yy ndie aliyekua akikiabudu hichi chama na muda wote anatembea na ilani ya chama na yeye ndie aliyemkashifu na kumtukana alhaji Profesa asadi kule bungeni kwanini usimshauri mkuu kama huyo ninja anze kuwekwa ndani na avuliwe uwanachama ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unamshauri asiruhusu demokrasia kama Venezuela? Ndo ushauri wako?
 
Hii nchi si Mali ya CCM...Lumumba mnajidanganya sana..
 
Kama demokrasia inazalisha Wasaliti ndani ya Nchi ina faida gani haswa?
Ni kivipi demokrasia inazalisha wasaliti? Nipe mfano wa usaliti unaosababishwa na demokrasia na mimi nikupe mifano ya kutosha ni kwa vipi ukosefu wa demokrasia unazalisha kusalitiana na vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Huko kwa Mabwenyenye mnapoenda kuwalamba viatu

Hovyo sana Wapinzani
Mbona juzi tu kule bungeni spika wa wanaCCM walikuwa wanamfokea Zitto kwamba anasababisha mkose misaada. Kwa nini mnalilia misaada toka kwa Mabwenyenye?
 
Huoni wanasiasa wa upinzani wanapishana angani kwenda kuitukana Nchi yetu kwa Mabeberu?
Ni kivipi demokrasia inazalisha wasaliti? Nipe mfano wa usaliti unaosababishwa na demokrasia na mimi nikupe mifano ya kutosha ni kwa vipi ukosefu wa demokrasia unazalisha kusalitiana na vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…