Kutumika Mbwa kwenye uokoaji Syria na Uturuki

Jambo la kushukuru sana kwa ufafanuzi huu
Watu wajifunze bila jazba
 
Kama shida ni 'yubayyin' basi Hilo neno lipo pia kwenye 3:187......
Sawa.

"Na kumbuka pale allah alipochukua ahadi na wale waliopewa kitabu kuwa: naapa mtawabainishia watu na wala hamtokificha, basi walikitupa nyuma ya migongo yao, na wakanunua kwa kitabu hicho thamani ndogo{ya dunia} basi ni kiovu hicho walichokinunua.."
Qur'an 3:187


Sasa nifahamishe hizi habari za mayahudi na wakristo zinahusiana vipi na mada yetu.
 
waislamu wanakwambia usitumie vya kafiri wakati hiyo simu na elimu ya kumtibu yeye imetoka huko.
hapo ndipo nilipowaona akili hakuna.
binadamu umepewa vyote duniani kuvitumia iweje usingizie mungu.
 
Mkuu hili jambo la kujifanya huelewi nilikutahadharisha mwanzo wa mjadala, hao watu wa kitabu walilazimishwa na hiyo ahadi kuwa watawafundisha watu taurati na injili wala wasifiche mengine na wakafundisha mengine, walichokifanya wakaficha mafundisho ya mitume wao kwa thamani ndogo ya maisha ya dunia wakaenda kinyume na ahadi.

Aya imebainisha hao ni mayahudi na wakristo sisi mada yetu inamuhusu mtume muhammad swala na salaam ziwe juu yake, iweje maneno yao yawe hadithi na ilhali wao sio mitume? au ufahamu wako umeupeleka wapi mkuu?.

Lakini pia bado nasubiri uniletee ushahidi wa namna ya kuswali kwa mujibu wa quran pekee.

Karibu zonda
 
Kufuga mbwa hovyohovyo bila utaratibu ni jambo limekatazwa katika uislamu.
Hakuna sehemu yeyote ambayo uislam unakataza kifuga mbwa bali kinacho katazwa ni kumshika shika hovyo baadhi ya sehemu zake hasa mdomoni.
 
waislamu wanakwambia usitumie vya kafiri wakati hiyo simu na elimu ya kumtibu yeye imetoka huko.
hapo ndipo nilipowaona akili hakuna.
binadamu umepewa vyote duniani kuvitumia iweje usingizie mungu.
Acha kupotosha
Wapi wamesema haya maneno
Kama una chuki binafsi na waislam Sema ila usitunge uongo haukusaidii
 
Aliyekwambia mbwa ni haramu nani
 
QUR'AN 16:89,2:185 kwamba Qur'an 'inabainisha kila kitu'...na
 
Shida yako 'yubayyin'...Soma Tena 16:89,2:185
 
Huwa nina kawaida moja kama nikiona tunaanza kupoteza muda basi nakubali kushindwa mjadala, kwa mtindo huu unaokwenda nao tunaelekea huko.
QUR'AN 16:89,2:185 kwamba Qur'an 'inabainisha kila kitu'...na
 
Namshukuru Allah kwa neema ya Sunnah.
 
waislamu wanakwambia usitumie vya kafiri wakati hiyo simu na elimu ya kumtibu yeye imetoka huko.
hapo ndipo nilipowaona akili hakuna.
binadamu umepewa vyote duniani kuvitumia iweje usingizie mungu.
Leta andiko linalo sema hivyo.
 
Mbwa aliyrpewa mafunzo,kama uindaji na kazi ya uokoaji na mafunzo mengine yenye faida,anaruhusiwa.
 
waislamu wanakwambia usitumie vya kafiri wakati hiyo simu na elimu ya kumtibu yeye imetoka huko.
hapo ndipo nilipowaona akili hakuna.
binadamu umepewa vyote duniani kuvitumia iweje usingizie mungu.
Nani alikwambia kuwa waislamu wameambiwa wasitumie vya kafiri? Hiyo ni generalised statement. Enzi za Mtume walikuweko manasara (christians) na mayahudi (jews) na walikuwa wakifanya biashara hapo Makka, sasa ingekuwa hivyo unavyosema ni sahihi si angesema wasiende kwa hao wafanya biashara kununua vitu?

Kuna vitu maalumu ndiyo vimekatazwa (na hata kuiga) siyo vyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…