Kuna mambo mengi ya kisheria ambayo Mwaluko anapaswa kuhangaika nayo ikiwemo haki za binadamu, uhuru wa mahakama, madudu ya ofisi ya DPP, migogoro ya ardhi, mirathi n.k, mambo ya kudondosha fwedha ni ya mwisho sana.Naona amezinduka sasa
Ovyo kabisaWaziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Kabudi acha hizo nyie ni wazee mmepitwa wakati hizi swaga za vijanaWaziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!
Mwenye akili hawez ainisha hizo percentage za matokeo ya uchafuzHuyu ni mwalimu wa Tundu Lisu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%
Kutuza ndiyo sahihi mkuu.Hivi ni atakayetunza au atakayetuza? Hili neno huwa linanipa shida.. Hasa pale ninapomsikia Diamond akitamka "kumtunza"
---bila tashwishwiπππππππHuyu mzee tumeshamsahau nasikia alikuwa ana mamlaka makubwa enzi za mwendazake alikuwa anawabagaza bila tashwishwi mabeberu na vibaraka waoπ€£
TAL akipata FIRST CLASS UDSM na alikuwa BEST student FACULTY OF LAW!TAL alisoma majalalani.Ndiyo maana akili zake ni za kimajalalamajalala.
Kwahiyo hata Lissu ni wa hovyo kwelikweliHuyu ni mwalimu wa Tundu Lisu aliyegombe urais wa JMT na kupata 13%
KiiinggggTuzo
Tuza
Tunza(Hifadhi).
Kiiingggg
Lisu ni mwanafunzi wa Prof KabudiJaribu kutumia hata hiyo akili kiduchu uliyobakishiwa. Sijamtaja Lissu na hahusiki na uzi huu.
Hukumu utaikuta mahakamani kwani ukiingia tu kwenye mlango wa mahakama unapigwa miezi! Kisha hakimu anajitoa kwenye kesi yako.Sheria utaikuta mahakamani!
Tafuta hela acha kulialiaTukutane kwenye liveband,
Nina hela hadi natamani kujiteka,
Hivyo lazima nizipunguze kupitia kutunza
Hizi sheria za kipuuzipuuzi zinafungwa na watu wenye stress za maisha
Aisee Tz ina watu hupenda shughulika na vitu vidogo, Kama sio kutafuta sifa , kwani kutunza mtu pesa ikaanguka chini ina shida GANI ? au nayo inasaidia mzunguko wa pesa kua chini?Waziri wa Katiba na Sheria Prof Kabudi amesema kuanzia sasa mtu yoyote atakayetunza kwenye sherehe kwa kutupa hela chini atashtakiwa mahakamani.
Source: Eatv!