Tanzania ana nini cha kuzuia hao mabeberu kutwaa nchi hata karakana ya vipuri hunaChanzo cha habari chako ni kipi? Kilichosema kuwa angemaliza Ukraine ndani ya siku 2. Hata USA hawezi ichukua Tanzania kwa siku 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tanzania ana nini cha kuzuia hao mabeberu kutwaa nchi hata karakana ya vipuri hunaChanzo cha habari chako ni kipi? Kilichosema kuwa angemaliza Ukraine ndani ya siku 2. Hata USA hawezi ichukua Tanzania kwa siku 2
Majadiliano yapo ila ugumu ni Putin anataka luhansk na donestic yale majimbo yawe nchi huru Ukraine hatakiWesterners wapo vizuri kwenye propaganda. Russia hata kama awe anaumwa Ukraine hamuwezi. Kiutuzima Zelensky kwwa kuwajali wananchi wake alitakiwa aitishe majadiliano toka mwanzo.
Wengi wanachanganya Russia ya zamani ya uzalendo ambapo Askari waliweza kupigana Siberia kwenye barafu kali wakiwa hata sweta hawana kupigania Dola ya Russia wakiapa kuwa wako tayari kufa hata kwa barafu wakiwa vifua wazi kulinda mama Russia!!Sasa mbona babu Putin alidai atamaliza kazi kwa siku mbili tu?!
Hivi unajitambua kweli?hakuna jeshi lililo organized na hatari kuliko Russia hii ni kutokana na military expects wa ulaya.unajidanganya sanaWengi wanachanganya Russia ya zamani ya uzalendo ambapo Askari waliweza kupigana Siberia kwenye barafu kali wakiwa hata sweta hawana kupigania Dola ya Russia wakiapa kuwa wako tayari kufa hata kwa barafu wakiwa vifua wazi kulinda mama Russia!!
Sasa hivi Jeshi la Russia lina vitoto vya dot .com vinataka good war working environment !! ikiwemo magari na vifaru vyenye heater nk na warm clothes!! Kama sharti la kupigana.!!! Kuwa there must be good working conditions!!!!
Magenerali wazee wakiviamrisha vikamanda vya platuni kuwa songeni mbele mpigane vinadai boresha kwanza working conditions ili tusonge mbele kupiga Ukraine!! Vinagoma
Jeshi shupavu la Ukraine lisilojali hali linaua magenerali wao na vitoto dot .Com vya jeshi vya Russia vivaa miregesheo vinauawa na vinakimbia mbio na kutekwa na vikitekwa vinalililia mama zao ohh mma mma nyau
Ndio maana Putin anahangaika kuagiza wapiganaji toka Syria lakini hopeless wale Syria wazoefu vita za maeneo ya Joto na jangwa sio baridi kali ya Ukraine wanauawa kama ngedere
Urusi ina magenerali wazee na wapiganaji dot com ambao waliingia jeshini kiupendeleo, kifisadi na Rushwa hawana wanajeshi vijana wanajeshi credible
Russia hii ya sasa ni zero kwenye employment ya wanajeshi mahili zero upendeleo na Rushwa tu kuajiriwa jeshiniHivi unajitambua kweli?hakuna jeshi lililo organized na hatari kuliko Russia hii ni kutokana na military expects wa ulaya.unajidanganya sana
Tulisha waambia watu hapa Russia hawezi kuipiga hata France. Kuna mtu alienda mbali zaidi akasema hata Poland tu Russia hamwezi. Huwa inashangaza sana baadhi ya watu kufikiri Russia anaweza kuitikisa NATORussia hii ya sasa ni zero kwenye employment ya wanajeshi mahili zero upendeleo na Rushwa tu kuajiriwa jeshini
Sasa wanavuna walichopanda hao waliowaajiri kwa upendeleo na Rushwa wanauawa kama ngedere na Jeshinla Ukraine lililokuwa linachuja vizuri wataka ajira jeshini
Kwani Ukraine kushare mpaka na Nato wamepata madhara gani? Lakini Ukraine anajuta kushare mpaka na RussiaSababu inajulikana mheshimiwa. Kumbuka Ukreine alitaka kujiunga na umoja wa kujihami wa nchi za magharibi yaani NATO. Na Rusia anaipinga hatua hiyo kwa kuwa tendo LA ukreine kuwa kwenye jumuia hii ni sawa na kumkaribisha mmarekani Rusia. Kumbuka Rusia na Ukreine wanashare mpaka na baadhi ya raia wa pande hizi mbili wana muingiliano warusia wanaishi ukreine na waukreine wanaishi Rusia hivyo ni kama nchi moja.
Kuna jambo hulijui au unapotezea makusudi kama hulijui.chini ya wiki 1 Nato ilikuwa tayali imeitiisha Kabul na walipoteza Askari kama 10 tu.
na kwa miaka yote 20 ya kuikalia Afghanistan wamepotezea askari kama 2 elfu.
Wakati Urus kwa miaka 9 ya kuikalia Afghanistan alipoteza zaid 15 elfu askari.
sijui wanashida gani ndani ya jeshi lao!!.
Pia wakati wa vita ya pili ya dunia licha ya kumpiga mjerumani lakini Urusi alipoteza sana askari wake kuliko nchi yoyote ile kwa kipindi kile sababu ikasemekana ni uniform za jeshi lao ndio ziliwaponza..Hizi recent wars sijui tatizo ni nini!!Urusi ina historia ya kutoa kafara askari wake katika vita zote wanazopigana. Chini ya wiki 1 Nato ilikuwa tayali imeitiisha Kabul na walipoteza Askari kama 10 tu na kwa miaka yote 20 ya kuikalia Afghanistan wamepotezea askari kama 2 elfu.
Wakati Urus kwa miaka 9 ya kuikalia Afghanistan alipoteza zaid 15 elfu askari. Sijui wanashida gani ndani ya jeshi lao!!.
Uko Somalia wakati kikosi cha US kikiwa cornerd na City nzima na kila raia ana bunduki lakini walipoteza 19 askari tu. Hii ilikuwa ni Fwathaa iliyokuwa imeitishwa M, F Aidid kuyapiga majeshi ya kigen yaliyoletwa kulinda Amani.
NB: Before ya hii vita nilijua Urusi ni Mbabe wa US ila sasa picha ipo Clear kuwa nchi ya kuipiga US kijeshi haipo.
Vifaa inategemea unavitumia wapi mkuu.Nilishasema na nitasema tena, kitu pekee cha kuiogopa Russia ni silaha za nuclear tu. Ivi vifaa vingine vya kivita bado yupo nyuma sana ya mmarekani.
Lini? Ilionyeshwa wapi?Magenerali waliouawa walitangazwa na Urusi wenyewe na mazishi kuonyeshwa
Wakikusikia watoto wa Putin watakushukia kama mwewe😀Vita hii nyepesi, siku mbili au tatu kwisha.
Wewe upo Gongolamboto unajua kinachoendelea ndani ya jeshi la urusi aisee wewe ni hatari hata wamarekani wenyewe hawana hiyo taarifa.Russia hii ya sasa ni zero kwenye employment ya wanajeshi mahili zero upendeleo na Rushwa tu kuajiriwa jeshini
Sasa wanavuna walichopanda hao waliowaajiri kwa upendeleo na Rushwa wanauawa kama ngedere na Jeshinla Ukraine lililokuwa linachuja vizuri wataka ajira jeshini
Walau kwa huu uzi watu wanaongea vitu katika uhalisia wakeNilishasema na nitasema tena, kitu pekee cha kuiogopa Russia ni silaha za nuclear tu. Ivi vifaa vingine vya kivita bado yupo nyuma sana ya mmarekani.
Na huu ndiyo ukweli wenyeweBado nguvu ya Mmarekani kiuchumi na kijeshi ni kubwa sana Duniani.
Sasa kwanini NATO haiendi kuondoa urusi SASA kama wanauwezo? Urusi mwenzake ni Marekani Tu hivi akili zenu mnapeleka wapi hakuna nchi ya ulaya inayokaribia urusi kijeshi.Tulisha waambia watu hapa Russia hawezi kuipiga hata France. Kuna mtu alienda mbali zaidi akasema hata Poland tu Russia hamwezi. Huwa inashangaza sana baadhi ya watu kufikiri Russia anaweza kuitikisa NATO
Bado Sana bado wengi wanaongea pumbaWalau kwa huu uzi watu wanaongea vitu katika uhalisia wake
Nenda YouTube tu utaona taarifa kibao sio tu za vyombo vya MagharibiLini? Ilionyeshwa wapi?