Kuuliza Bei Kabla ya Kula uwapo Outing ni Akili na kujiamini lakini Malofa huona aibu

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
It happened to Me, Kuna Mgahawa unaitwa Tanzanite halafu ile Menu niliposoma nikadhani utakuwa ni Msosi wa maana kumbe ni Chapati siyo kaangwa na Mafuta na haina chumvi na Kibirika kina Chai ya Spices kibao kama unakula Pilipili. Bili inakuja kama 17,000?=. Ushamba sometimes ni hasara
 
Sasa unasuburi mpaka nilewe ndio uje kunikumbusha nimekunywa local bia 7 naletewa bill 32000
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Pole sana mm Huwa nauliza sana tu sijui ndio umaskini
 
Halafu , you are not a Masikini bhana, You are growing . πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kwakweli ela inaniuma mno hata nikitolewa nipo km mchawi yaani nitauliza tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Miss Aaliyyah , Sasa ndio unanicheka au unaona maneno yangu ni kichekesho ? You are not a Masikini because You are among the word's really people though tuko Mtandaoni, Haujizimi data na kujipostia content zisizo kuwa na afya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…