Kuuliza si ujinga, Mtu akifariki watu wanasema Apumzike kwa Amani huwa wanamwambia marehemu au wanamaanisha nini?

 
Hata mimi nakuelewa sana.
Mkuu inafurahisha sana, unatumia basi tu au ni sababu jamii forums ni mtandao wa siri ? Mkuu bwana maneno yako yanafurahisha sana😂😂
Kwahyo una hakika 500 miaka ijayo teknolojia itakuwa hivi hivi ila unahitimisha kwamba baada ya kifo hakuna kitu?
 
mkuu kuna sehemu imeandikwa nuhu aliingiza wanyama safinani
hebu tuwekee hapa tuone kama akili zako zipo sawa au unaambiwa tu na huchanganyi na za kwako
Mkuu ebu wewe changanya na zako tueweshe watu walijenga mnara wa babeli kumfikia Mungu.
 
Kwa nini unapenda kutamani kujua baada ya kufa ila hauhoji kabla ya kuzaliwa?
 
ila sisi wasukuma ni alfa na omega,just imagine asubuh wali wa kutosha au ugali<jipolo>lakin kuna raia chai ya rangi na mtu anadunda hadi mchana!!
 
R.I.P Wameiga kwa makafiri wa kimagharibi, na haina maana yoyote, wao wanafikiri marehemu anaenda kupumzika!
Sasa na nyie wa8slamu mnapopiga dua kuwa Allah anwepushe marehemu na adhabu ya kaburi kulikoni ? Kuna adhabu gani huko hadi mpige dua?
 
Ni kutokuwepo kwa kitu katika vitu vilivyopo na katika vipimo vya uwepo wa vitu vilivyopo.
Hakuna kitu kinachoitwa kutokuwepo kwa kitu mkuu. Mara zote kuna kitu. Nothing ni terminology tuliyoiweka ili kuelezea uwepo wa kitu. Nothing is something that result into exist of another something.
 
Hakuna kitu kinachoitwa kutokuwepo kwa kitu mkuu. Mara zote kuna kitu. Nothing ni terminology tuliyoiweka ili kuelezea uwepo wa kitu. Nothing is something that result into exist of another something.
How did nothing come to existence?

Nothing ina eleza uwepo wa kitu gani?

Kwanza kitu gani ni nothing?
 
ila sisi wasukuma ni alfa na omega,just imagine asubuh wali wa kutosha au ugali<jipolo>lakin kuna raia chai ya rangi na mtu anadunda hadi mchana!!
mkuu wasukuma wapo vzuri. Asubuhi unapigwa ugali kilo5 na maziwa mtindi safi kabisa. Ukiingia kulima au kuchunga mtu anakufutia heka moja😂😂😂 heshima yenu mnachapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…