Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,807
- 17,416
Sisi wakatoliki kuungama ni amri ya Kanisa, tena inakujitaji kuungama dhambi zako zote walao mara moja kwa Mwaka...(Unless kuna updated version)
Sasa tukiwa vijana wadogo secondary huko kuna janja wa form five hivi alikuwa katoka seminar akawa anatueleza conspiracies za kuungama na ukoloni.
Mpaka nakutana na hii habari leo almost 25 years ago down the line.
RIP Mshkaj wangu Deo.. ulikuwa mbele ya Muda.
Sasa tukiwa vijana wadogo secondary huko kuna janja wa form five hivi alikuwa katoka seminar akawa anatueleza conspiracies za kuungama na ukoloni.
Mpaka nakutana na hii habari leo almost 25 years ago down the line.
RIP Mshkaj wangu Deo.. ulikuwa mbele ya Muda.