kagunguli parish
Member
- Sep 9, 2024
- 20
- 49
Hizo taratibu za kijingakuungama kwa wakatoliki ni sacrament na ni sehemu ya Ibada,na haiwezi kufikia hapo kwn kabla ya maungamo kuna vazi maalum linavaliwa na padre na kuna sala maalum inasaliwa hivo haifikii sehemu ya kuwa wapelelezi wa serikali au kufanya Kaz ya
Anaungama kwa padre mwenzie, kadhalika na askofu huungama kwa padre na pope nae huungama kwa padre.Yeye Padri anaungama wapi ? Anayepokea maungamo na msamaha ni Yesu pekee. Padri sio MUNGU.
Si unamuungamia uliye mkosea na Mungu tu?Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Utamuungamia nani sasa mkuu?
Mimi niliachia katikati baada ya tafakari nzito sana mwaka 2008 . Lakin siachi kuomba toba na Rehema mbele za mwenyezi Mungu moja kwa moja kwani wanadamu hatukosi madhaifu yanayohitaji Rehema za mwenyezi Mungu !Me ni mkatoliki ila siwezi kuungama dhambi Kwa padre
Kama watu ndiyo hupokea maungamo Mungu wa nini kumuombea sasaAnaungama kwa padre mwenzie, kadhalika na askofu huungama kwa padre na pope nae huungama kwa padre.
Nilitak kuuliza wakijibu nitagNdio mkome. Kwani Papa yeye huungama kwa nani?
Ungameni dhambi zenu ninyi kwa ninyi, na kuombeana, mpate kuponywa. Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana, akiomba kwa bidii.
Utamuungamia nani sasa mkuu?
Paulo nadhan alimaanisha kwa wapakwa mafuta ambao ni Mapadre na Wachungaji
Dhambi si ya kufikirika. Ukiiba, ukizini, ukiua kwa kusudi, ukisema uongo nk ni kosa kibinadamu juu ya mwenzio. Uwe na dini au la. Hapa sio cha kufikirika ni tendo ovu lisilokubalika kibinadamu. NDIO DHAMBI.Sin is an imaginary disease invented to sell an imaginary cure.
Hata mimi nawashangaaga kwa kweli ni bora niende kuungama kwa shehe Mfuga majiniMtu na akili zako kabisa na bichwa lako unaenda KUUNGAMA kwa padre au kwa Askofu pengo?
Unapiga goti kabisa unabinua tako moja unaomba msamaha?
Hivi tumelogwa na nani?
Cc: secretarybird johnthebaptist Poor Brain
πππKuna padri alimpa wife list ya malaya zangu wote