nyasangaboy
Senior Member
- Jul 14, 2020
- 127
- 58
- Thread starter
-
- #21
Yes na mm niliona humu.KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K
Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Yes nlikuwa naulizia hvyo hvyo.Zipo submeter zina function kama mita za Tanesco umeme wako ukiisha zinazima bei 180k hauna haja kuweka mita ya Tanesco tena.
Zipo nyingi tuYes nlikuwa naulizia hvyo hvyo.
Bei zake huwa zipojeZipo nyingi tu
Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.Mkuu umeme wangu ukiisha ki vipi? Na je umene huo unakua umetokea wapi?
Ninazojua mm ni tsh 180,000/= ndio zipo vizuri na zina simple operation.Bei zake huwa zipoje
Yes ipo hvyo hvyiMita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
SawaNinazojua mm ni tsh 180,000/= ndio zipo vizuri na zina simple operation.Japo nasikia zipo zingine lakini unazioperate manually kwa kufanya callibration umeme ukiisha kwako zinazima ila unaweza kukopeshwa umeme kutoka mita kuu na ukaendelea kutumia.🤔🤔🤔
Unalipia sh ngapi?Yess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Sio terry ni tail wireYess hyo inaitwa separation
Unachukua form ofsin kwao
Ikiwa nyumba ni yako unaenda na kitambulisho na passport...ikiwa nyumba sio yako unaenda na vya mwenyenyumba
Easy like that
Ila lazima uweke mainswitch cct breaker na earthrod yako kisha terry yakupokelea umeme
Kupata mita ya pili toka Tanesco kwa sasa kwenye jengo ambalo tayari lina umeme wamesitisha ili wananchi ambao hawana kabisa umeme wahudumiwe kwanza
Wewe nae mbona hauelewi. Tanesco ni shirika mama la umeme Tanzania. Wao ndio wanahusika na kuunganisha line za umeme kitoka katika mistimu kuja katika nyumba pamoja na utoaji na ufungaji wa mita kwenye nyumba.Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??
Mnajidanganya sana. Sub meter lazima ipate umeme baada ya Meter ya TANESCO. Sasa meter ya TANESCO ikimaliza umeme (meter ya LUKU) hiyo submeter itapata wapi umeme.KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K
Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Watu hawana uelewa lakini wanajifanya wataalam hii ni shida kubwa.Nilikuwa nacheka sana jamaa wanavyolishana matango pori[emoji23][emoji23][emoji23]
Ata mimi nilikuwa nawaza apa hyo technology....mimi ninavyojua mita kuu ikiisha umeme na kwako unakatika Ila units zako zinabaki vilevile ktk kifaa chako.Mnajidanganya sana. Sub meter lazima ipate umeme baada ya Meter ya TANESCO. Sasa meter ya TANESCO ikimaliza umeme (meter ya LUKU) hiyo submeter itapata wapi umeme.
Mafundi huwa wana majina yao wenyewe special[emoji28]Sio terry ni tail wire
Kwani sub meter haitegemei mita kuu ya TANESCO? Kwamba mita kuu ikiishiwa na yenyewe inazima?Mita inafungwa kwny chumba chako au apartment yako katika nyumba assume ww ni mpangaji mpo na wapangaji wengine ww unafunga submeter yako unajaza token yako ya umeme kwa submeter na kupaste kwny mita kubwa ya nyumba unit zako ulizoweka zikiisha chumba chako au apartment yako umeme unazima wenzako wanadunda au wenzako ukiisha umeme unakata kwao ww unaendelea.
Ahsante kwa taarifa.Kupata mita ya pili toka Tanesco kwa sasa kwenye jengo ambalo tayari lina umeme wamesitisha ili wananchi ambao hawana kabisa umeme wahudumiwe kwanza
Haina haja ya kwenda tanesco kusajiri ili wakuungie mita,unanunua tu dukani unaita kishoka anakufungia na wala sio illegal.🤔🤔Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?
Nimegundua watu hawana uelewa kabisa humu kama wewe.