TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
nimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.Kwani sub meter haitegemei mita kuu ya TANESCO? Kwamba mita kuu ikiishiwa na yenyewe inazima?
Nadhani hujamuelewa Mtoa Mada.Haina haja ya kwenda tanesco kusajiri ili wakuungie mita,unanunua tu dukani unaita kishoka anakufungia na wala sio illegal.[emoji848][emoji848]
Ww umemuelewaje tuanzie hapo kwanza?
Huduma hii imeanza link kma IPO kweli itakuwa mkombozi maana hta ukinunua hyo mita cku ukihama unahama nayo tunimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.
Baada ya pasting wakati wa kuweka token inamaana Mita kuu inaambiwa kwamba iache amount ya umeme ya submeter fulani let say submeter X incase umeme wa watumiaji wengine ukiisha utakaobaki kwa mita kuu na ukasomwa ni wa submeter X
Wewe nae mbona hauelewi. Tanesco ni shirika mama la umeme Tanzania. Wao ndio wanahusika na kuunganisha line za umeme kitoka katika mistimu kuja katika nyumba pamoja na utoaji na ufungaji wa mita kwenye nyumba.
Kinyume na hapo, hakuna watu wengine wanaofanya kazi za tanesco.
Jana tu nimetoka kumfungia mpangaji wangu ww ndio unahitaji kuelimishwa coz inawezekana unasikia story tu ila mm ni fundi umeme by passion,engineer by proffesion .Hiyo submeter inakuwa imesajiliwa TANESCO?
Nimegundua watu hawana uelewa kabisa humu kama wewe.
Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.Huduma hii imeanza link kma IPO kweli itakuwa mkombozi maana hta ukinunua hyo mita cku ukihama unahama nayo tu
Sio terry ni tail wire
Hiyo mita kuu ina support vipi 'pasting' kutoka sub- meter hapo pagumu kidogo!nimetumia neno "paste" nikimaanisha vitu vinavyowasiliana .Kwa watu wa Programming au computer wanaelewa mtu anaposema una paste code kutoka device moja kwa nyingine maana yake there is mutual communication between two devices.
Baada ya pasting wakati wa kuweka token inamaana Mita kuu inaambiwa kwamba iache amount ya umeme ya submeter fulani let say submeter X incase umeme wa watumiaji wengine ukiisha utakaobaki kwa mita kuu na ukasomwa ni wa submeter X
luku utaipata wapi?Haiwezekani kufanya bila kupita tanesco??
Umeenda deep sana,elewa tu kuna mawasiliano kati ya mita kuu na submeter inatosha ukielewa hvyo,tusijewachanganya watu hapa.😂😂😂Hiyo mita kuu ina support vipi 'pasting' kutoka sub- meter hapo pagumu kidogo!
Huo umeme atanunuaje?!Haina haja ya kwenda tanesco kusajiri ili wakuungie mita,unanunua tu dukani unaita kishoka anakufungia na wala sio illegal.[emoji848][emoji848]
Hivi wewe unatufanya sisi wajinga sio?! Tunazungumzia mita ya tanesco ile yenye network sio hizi submeter za kusoma units tu....Jana tu nimetoka kumfungia mpangaji wangu ww ndio unahitaji kuelimishwa coz inawezekana unasikia story tu ila mm ni fundi umeme by passion,engineer by proffesion .
Unaongea vitu vya kwny madesa wakati wenzako tuliacha madesa longtime now tupo kwny practical life.Inawezekana swali lako likawa la kijinga .
Wewe sasa haujamuelewa mleta uzi. Mwenzako anaongolea ile mita kubwa ambayo unaingizia umeme mwenyewe.Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.
Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.
Zipo automatic ndio 180k
[emoji3][emoji3][emoji3]somo hilo mkuuUmeenda deep sana,elewa tu kuna mawasiliano kati ya mita kuu na submeter inatosha ukielewa hvyo,tusijewachanganya watu hapa.[emoji23][emoji23][emoji23]
luku utaipata wapi?
Nyumba ni ya kupanga au frem ya biashara ,kwa maelezo yake inaonyesha teyari ishakuwa na mita ya Tanesco ndio maana unamshauri kuhusu submeter.Huo umeme atanunuaje?!
Hawatakiwi kabisa kufanya hio kazi. WatakufilisiTofauti na tanesco mafundi mtaani hawawezi hyo??
Teyari inamita hiyo soma maelezo ya mleta uzi na kuyatafakari ,mleta uzi atakuwa mpangaji ktk nyumba yenye wapangaji ambapo kuna mgogoro wa umeme.luku utaipata wapi?
Upo sahihi .Teyari inamita hiyo soma maelezo ya mleta uzi na kuyatafakari ,mleta uzi atakuwa mpangaji ktk nyumba yenye wapangaji ambapo kuna mgogoro wa umeme.
Vishoka awatakiwi labda Kama umeandaa milioni 2 ya fainiBila kupita tanesco
Umeme wa buku 5 ni kama units 18 hivi, assume mko wapangaji 4 na mna TV, pasi, friji, radio/sub ufa etc kwa nini zisiishe?Ata mimi nilikuwa nawaza apa hyo technology....mimi ninavyojua mita kuu ikiisha umeme na kwako unakatika Ila units zako zinabaki vilevile ktk kifaa chako.
Ila lau kungekuwa na system ya kile kidude kujitegemea umeme,naamini ingekuwa poa sanaa...Mana hizi nyumba za kupanga changamoto Sana,mimi kuna nyumba nimepanga umeme wa 5000 tunatumia sku mbili, sometimes huwa nawaza kuna mtu anakiwanda umu ndani.