Hiyo kuiita sub meter siyo sawa maana kazi yake ni kusoma tuu units za umeme ulizotumia ili mpangaji akiambiwa achangie elfu kumi kwa mwezi asilete ubishi.Haina haja ya kwenda tanesco kusajiri ili wakuungie mita,unanunua tu dukani unaita kishoka anakufungia na wala sio illegal.[emoji848][emoji848]
Hivi wewe unatufanya sisi wajinga sio?! Tunazungumzia mita ya tanesco ile yenye network sio hizi submeter za kusoma units tu....
@ thedreamer thebeliever mwanzo nilijua anaongelea hizi,ni kweli zipo mkuu.kuna submeter unaingiza umeme kama luku vile na umeme ukiisha zinajizima.. nishawai kupanga appartment za kishimba nikakutana nazo hizo submeter
Duuuh.Hawatakiwi kabisa kufanya hio kazi. Watakufilisi
Kumbe kwai zipo eeehkuna submeter unaingiza umeme kama luku vile na umeme ukiisha zinajizima.. nishawai kupanga appartment za kishimba nikakutana nazo hizo submeter
tunaomba picha yake, ikikupendeza tutajie brand name ili tukanunue.Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.
Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.
Zipo automatic ndio 180k
mmmh kujaza umeme tena. Nafikiri hiki kinasetiwa tu. Labda tuseme umelipia 5000 unit 12. So kitasetiwa ukimaliza hizo unit 12 kitajizima.KUNA JAMAA NIOIONA KAWEKA TANGAZO LA SUB METER ZA KISASA AMBAZO UNAWEZA KUJAZA UMEME WAKO CHUMBANI KWAKO PEKE YAKO AU KWENYE FRAME YAKO.
NILIONQ TANGAZO HILO HUMU HUMU KAMA SIKOSEI AU FB.BEI YAKE ALISEMA NI 180K
Hizi submeter sio kama zile za kusoma matumizi ila hizi unajaza kabisa umeme wako mwenyewe
Anatakiwa aongee na mwenyenyumba wake ili amsaidie ku apply Tanesco apate mita nyingine ambayo akifika kwa watoa huduma ambao ni TANESCO TUU Aseme anahitaji kufanya meter separation kinyume cha hapo asije kurudi hapa kutoa ushuhuda wa kutapeliwampangaji
Naomba niwape elimu kidogo juu ya submeter.Submeter si mali ya Tanesco.Tanesco inawateja wake wakubwa ambao anaitwa T2 na T3.Hawa wengi ni appartment au hoteli.Mita ya Tanesco ndo inaitwa T2 au T3 sasa unakuta wapangaji wanataka kujua huo umeme wanatumia unaendaje kwa kuhitaji kusoma unit au awe anapewa umeme wa 50,000 then afeed kwenye hiyo submeter.Tanesco haina huduma ya hiyo submeter.Be carefully great thinker
Inapokea umeme kutoka mita ya Tanesco.Kwani sub meter haitegemei mita kuu ya TANESCO? Kwamba mita kuu ikiishiwa na yenyewe inazima?
Nadhani tanesco wangewekeza kwenye mita ndogo ndogo zakujitegemea kwa nyumba za kupanga na frem wangepiga sana ela maana hapo kuna changamoto na kero kubwa.Hivi vimita walivyoleta vya kuhesabu unit ni ubabaishaji tu na havijatatua tatizo la msingi lakutumia mita moja watu wengi maana kuna nyumba utafikiri wana chomelea vyuma.Ata mimi nilikuwa nawaza apa hyo technology....mimi ninavyojua mita kuu ikiisha umeme na kwako unakatika Ila units zako zinabaki vilevile ktk kifaa chako.
Ila lau kungekuwa na system ya kile kidude kujitegemea umeme,naamini ingekuwa poa sanaa...Mana hizi nyumba za kupanga changamoto Sana,mimi kuna nyumba nimepanga umeme wa 5000 tunatumia sku mbili, sometimes huwa nawaza kuna mtu anakiwanda umu ndani.
Ikikupendeza weka vizuri hili watu waelewe maana kwakweli umeme ni janga kwa watu wengi.Hii nimemfungia mwenyewe jana mpangaji wangu jana ,kazi yake ni kuhesabu unit ila nimekonekt kwny switch ambayo naweza kuzima umeme chumbani kwake nikiwa chumbani kwangu km unit zake zitaisha.Kulia ni switch ipo chumbani kwngu nyumba ya pili inazima vyumba vya wapangaji kimoja kimoja.
Hizi ni separating mita za elfu 25 ,switch elfu 40k.
Zipo automatic ndio 180k
#Zipo boss zinajizima automatically umeme wako ukiisha ,@ thedreamer thebeliever mwanzo nilijua anaongelea hizi,ni kweli zipo mkuu.
Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
Unaongea kitu ambacho haukijui separating mita mpk aende tanesco,au unacomment ukiwa kwa warden hapo block A ya bibo.Anatakiwa aongee na mwenyenyumba wake ili amsaidie ku apply Tanesco apate mita nyingine ambayo akifika kwa watoa huduma ambao ni TANESCO TUU Aseme anahitaji kufanya meter separation kinyume cha hapo asije kurudi hapa kutoa ushuhuda wa kutapeliwa
Uingize umeme kwenye mita ambayo sio ya TANESCO, na hawa jamaa wakubali?? Umeme uishe usikate?? Naona maajabu
Unakata kwa mtu mmoja wengine wanaendelea na maisha. Yaani haukati nyumba nzima.Uingize umeme kwenye mita ambayo sio ya TANESCO, na hawa jamaa wakubali?? Umeme uishe usikate?? Naona maajabu