Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Hili janga ni kama limerejea tena kwa speed ya kasi mnooo fikiria unapokuwa safarini sahani ya wali maharage unanunu kwa 4000, wali nyama. 5000, kuku robo ni 10,000, Chaji ya rangi 1000.
Kuwa msafiri sio kuwa kosa la kulanguliwa vitu bei juu au ndio kusema na wao wameathiriwa na vita vya Ukraine?
na mwenye hotel anafidia huduma zake muhimu za bure kama choo,siku mikojo na nnya zenu zikijaa mnataka apakulie mikono yake amaZile hoteli mara nyingi zipo Pori , customer ni hao hao wasafiri , na wako limited , operation cost ni kubwa , ili kucover situation inabd bei iwe kubwa mkuu , mana maharage ya kilala, yanachacha wanamwaga , imagine umeyauza Kwa bukubuku
Wao wenyewe wanaouza hawanunui kwa hizo BeiHili janga ni kama limerejea tena kwa speed ya kasi mnooo fikiria unapokuwa safarini sahani ya wali maharage unanunu kwa 4000, wali nyama. 5000, kuku robo ni 10,000, Chaji ya rangi 1000.
Kuwa msafiri sio kuwa kosa la kulanguliwa vitu bei juu au ndio kusema na wao wameathiriwa na vita vya Ukraine?
Kama unatoka Musoma saa 10 usiku na unafika Dar saa 11 alfajiri sasa unataka chakula cha nini hapo?Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Atoze hizo huduma Kama vipi. So wali maharage wa buku ndio nilipe alfu nne so alfu tatu kisa nya ama wewe Ni mdau tumegusa maslahi yako ninina mwenye hotel anafidia huduma zake muhimu za bure kama choo,siku mikojo na nnya zenu zikijaa mnataka apakulie mikono yake ama
Operation kubwa kwa vipi? Chakula kinatoka Arusha kwenda Dar kina gharama ya chini ila hapo njiani gharama ni kubwa?Zile hoteli mara nyingi zipo Pori , customer ni hao hao wasafiri , na wako limited , operation cost ni kubwa , ili kucover situation inabd bei iwe kubwa mkuu , mana maharage ya kilala, yanachacha wanamwaga , imagine umeyauza Kwa bukubuku
Safari zinatumia masaa 12.Shida ya wabongo tunapenda sana kula safarini, safari fupi tu ya Dar -Moshi/Dodoma/Iringa mtu anataka ale nyama choma kuku/mbuzi.! Wakati unaweza kukausha tu ukafika kwako ukapika ugali maharage ukashiba bila gharama
Msipende kula vibudu mkiwa safarini, jitahidi kula vyakula visivyokuwa na mchuzi au nyama choma kwani huwa hamkawii kumsaidia dereva kuendesha.Hili janga ni kama limerejea tena kwa speed ya kasi mnooo fikiria unapokuwa safarini sahani ya wali maharage unanunu kwa 4000, wali nyama. 5000, kuku robo ni 10,000, Chaji ya rangi 1000.
Kuwa msafiri sio kuwa kosa la kulanguliwa vitu bei juu au ndio kusema na wao wameathiriwa na vita vya Ukraine?
inawezekana hivi vihotel vya barabarani vinamilikiwa na wakuu wa mikoa na wilaya na wakurugenzi wao. haiwezekani unakuta msikaki wa vipande vitatu tu vidogo unauzwa 1000 kwenye kihoteli kichafu, watu wanakula karibu kabisa na vyoo, serikali za mikoa na wilaya zipo zinaangalia tu.Hili janga ni kama limerejea tena kwa speed ya kasi mnooo fikiria unapokuwa safarini sahani ya wali maharage unanunu kwa 4000, wali nyama. 5000, kuku robo ni 10,000, Chaji ya rangi 1000.
Kuwa msafiri sio kuwa kosa la kulanguliwa vitu bei juu au ndio kusema na wao wameathiriwa na vita vya Ukraine?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kweli shida ya nini,Nunua mkate wako wa Buku jero Na soda ya take away buku Anza safari yako Njiani shindia mkate tu utanishukuru baadae
na wewe tumia akili, popote unapotokea hapakosi chakula hata cha kununua kwa bei rahisi. Ikiwa tayari haupo tayari kununua chakula cha bei ghali basi tafuta mbadala.Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Billion 900 + Billion 450 = ?Chaji ya rangi 1000