Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Unasafiri 'kikazi' na ulalamikie 5000 ya chakula, wewe ni FUTUHI tu.
[emoji1750][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasafiri 'kikazi' na ulalamikie 5000 ya chakula, wewe ni FUTUHI tu.
Na kwa nn ziwe pori??Zile hoteli mara nyingi zipo Pori , customer ni hao hao wasafiri , na wako limited , operation cost ni kubwa , ili kucover situation inabd bei iwe kubwa mkuu , mana maharage ya kilala, yanachacha wanamwaga , imagine umeyauza Kwa bukubuku
Enzi hizo tukisafiri na mabasi tulikuwa tunabeba chakula kama kawaida. Leo hii kila kitu kimekuwa issueNunua mkate wako wa Buku jero Na soda ya take away buku Anza safari yako Njiani shindia mkate tu utanishukuru baadae
Hoja hizi zote ni mfu.Hili jambo nadhani ni very challenging kuliko tunavyoliona.
Kuna mdahalo ITV waliitisha kati ya TABOA, Madereva, Abiria, na chama cha watetezi wa abiria kuhusu gharama za vyakula njiani.
Changamoto zilikuwa kama ifuatavyo,
* Abiria wenyewe hawakuwa wanaafikiana,abiria wengine walikuwa wanataka hoteli za hadhi na wako tayari kulipia, na abiria wengine walikuwa wanapendekeza gari lisimame kwenye hoteli za hadhi ya chini. Swali likawa ni Je, basi lisimame mara mbili kukidhi matakwa ya abiria wote? Abiria nwengine hawakuridhia kwa kuona ni upotezaji wa muda.
*Madereva wao wakasema wanatafuta hoteli ambayo kimsingi ipo katikati ya safari, ambapo kiuhalisia ni interior sana na hoteli ni chache. Wakaja na hoja kwamba, huwezi kumtoa abiria katika route ya Dar- Babati alafu ukamshusha akale kibaha mjini kwenye mahoteli mengi kwa sababu ya bei.
*Madereva wakaja na hoja nyingine yenye mgogoro kuhusu CHOO. Wakasema serikali inataka abiria wakashushwe sehemu sahihi za kujisaidia, na mara nyingi hizo sehemu unakuta ni za kulipia na abiria hawataki kabisa gharama, kwa hiyo wanachofanya ni kutumia tu busara kutokana na mazingira ili wananchi wajisaidie majoring bila kuwatesa.
Hata mimi nimewaza kama wewe mkuu sijaona hizo hotel zenye hadhi wanazoongelea.sijawai ona hotel ya hadhi ya juu barabara zote za mkoa ambapo magari husimama kwa ajili ya vyakula ni upigaji tu wa madereva ili wapewe msosi wa bure
Haya tumia akili ndogo tu kwa kununua biskuti na soda ya take awaye au majiTumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa mchana
Hata Rukwa Kuna maduka yanauza chupa za chai na hotpot. Kama kweli umelala hotel au lodge ya heshima unaweza kuwaambia wakuwekee chai kwenye chupa yako na pilau au wali kwenye hotpot yako.Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Eti Dar to Tanga gari inasimama njiani kula, tuchimbe dawa tusepe tuShida ya wabongo tunapenda sana kula safarini, safari fupi tu ya Dar -Moshi/Dodoma/Iringa mtu anataka ale nyama choma kuku/mbuzi.! Wakati unaweza kukausha tu ukafika kwako ukapika ugali maharage ukashiba bila gharama
Basi fungua mgahawa wako njianiUbebe kutoka wapi..
Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa
Nchi nyingi za africa ukisafiri,vyakula vya njiani huwa ni ghaliMtandikiwe tu pia mikeka hadharani mswali kuwaringishia watu nyinyi ni watu wa dini
Wabongo sahvi kutwa kulialia tuMtoa mada acha kulalamika do something.
Nunua chupa ya chai na hotpot saizi ndogo. Unaposafiri Safari ndefu say Dar/Mza. Weka chai kwa flaski, tupia wali wa Jana mu hotpot, wengine wakienda kulanguliwa hoteling, wewe kula wali wako na chai.
Nakumbuka enzi za OTC /DMT mama alikua anabeba vyakula Kama kuku wa kukaanga na chai mu flaski
Hakuna mamlaka ya udhibiti hapa.Hili janga ni kama limerejea tena kwa speed ya kasi mnooo fikiria unapokuwa safarini sahani ya wali maharage unanunu kwa 4000, wali nyama. 5000, kuku robo ni 10,000, Chaji ya rangi 1000.
Kuwa msafiri sio kuwa kosa la kulanguliwa vitu bei juu au ndio kusema na wao wameathiriwa na vita vya Ukraine?
Si bora Tanga mbali,dar to moro lazima mpumzikie mule kwa dakika 20Eti Dar to Tanga gari inasimama njiani kula, tuchimbe dawa tusepe tu
Weweee unaweza kukausha kutoka Dar to Kigoma?Kawaidah tutazoea tuhh ukipanda gari kausha mbaka ukifika