Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Unasafiri 'kikazi' na ulalamikie 5000 ya chakula, wewe ni FUTUHI tu.Tumia akili.
Sio kila safari mtu anatokea nyumbani.
Safari zingine unatokea mkoani kikazi (mfano Musoma/Rukwa), unarudi zako Dar es Salaam.
Unatoka Musoma/Rukwa saa kumi usiku, unafika Dar 11 alfajiri au kesho yake kabisa