Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Kuuzwa kwa bandari zetu: Ni nini msimamo wa Jakaya Mrisho Kikwete?

Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Kuna mambo sisi wananchi tunaweza kulaumu sana, ila hatujui sababu na undani wake. Yawezekana tunalaumi kuwa Tanzania hatuna ujasusi wa kiuchumi, ila tunapozifanyia kazi taarifa za kijasusu tunarudi kwenye kulalamika tena. Je tukiambiwa kuwa, tusipowakubalia DP World hapa watakwenda kuwekeza Maputo msumbiji na bandari ya Dar ndio itakufa kabisa, je itakuwa ni habari njema kwetu? Sitetei hili, Mimi na watanzania wenzangu letu ni Moja. Ila kwenye kujadili twendeni taratibu bila maneno makali, matusi na kebehi maana yawezekana Hawa tunaowatukana ndio wako kwenye hatua za kulisaisaidia Taifa. Mimi pia mwanzo nilihamaki, ila Kuna sauti inaniambia niwe mpole pengine hili linafanyika kwa Nia nzuri. ILA KAMA KUNA VIPENGELE VIBOVU VIWEKWE SAWA AU VIONDOLEWE KABISA.
 
No Mkuu!nafsi yangu inasema no jk kwenye hilo hayumo ni Mama,pk na waarabu na mashirika ya kijasusi ya nje mama akitaka kuungwa mkono na hayo mashirika ya kijasusi!!

Jk hawezi injinia huu Mpango halafu kijana wa pk aje kia ceo wa kampuni hiyo TZ never!!

Hii ni gem nyingine!!

Fuatilia body language ya mama na jk pale Dom wakati wa uzinduzi wa IKULU you can smell the rotten rat!!
Hamna kitu kitafanyika bila baraka za JK
Mkuu
 
No Mkuu!nafsi yangu inasema no jk kwenye hilo hayumo ni Mama,pk na waarabu na mashirika ya kijasusi ya nje mama akitaka kuungwa mkono na hayo mashirika ya kijasusi!!

Jk hawezi injinia huu Mpango halafu kijana wa pk aje kia ceo wa kampuni hiyo TZ never!!

Hii ni gem nyingine!!

Fuatilia body language ya mama na jk pale Dom wakati wa uzinduzi wa IKULU you can smell the rotten rat!!

Mkuu
Ulipo mgusia PK ndio umenileta kwenye picha mkuu! Ile ziara ile[emoji848] pia PK nae ni MUUMINI wa DP WORLD
 
Ndugu zangu watanzania wenzangu,

Ninajua tunapitia kwenye kipindi kigumu sasa tunapojadili juu ya huu mkataba wa kisen** unaolenga kuuza bandari zetu na kuturejesha utumwani kwa waarabu.

Ninachojiuliza mpaka sasa ni wapi alipo Jakaya Mrisho Kikwete? Kuna mtu amesikia kauli yoyote toka kwake?

Mimi binafsi sijasikia akisema chochote juu ya sakata hili. Ina maana yeye halimgusi, au halimhusu?

Jakaya Mrisho Kikwete ndiye taswira au kioo cha ccm kwa sasa. Yeye anasimama kwenye nafasi ya Baba wa taifa mwl Nyerere, na pia mwanamapinduzi John Pombe Magufuli; anayo nafasi kubwa ya kuonyesha njia kwetu kama taifa kujua kule tunakoelekea.

Swali langu: Je, kuna mtu amesikia sauti ya JK juu ya hili? Amesimama upande gani?

Je, anasubiri tuuzwe kwanza kwa waarabu ndipo ajitokeze?

Napenda nimpe taarifa: asiposimama sasa kukemea na kuitetea nchi yake (Tanganyika/Tanzania), damu ya watanzania itadaiwa mikononi mwake na uzao wake daima milele.

Aliyesikia kauli ya kikwete atujuze.
Ungeanza na hayati JPM kwani yeye ndio kiini cha hii biashara ya DP World, mwaka 2015 alipojenga SGR akawa ametengeneza mazingira ya kuwezekana kufanyika kwa makubaliano ya kibiashara baina ya pande mbili.

Tunapenda kumhusianisha JK na SSH bila hata ya kuwa na uelewa mpana wa nani haswa aliyekuwa nyuma ya maamuzi mazito. JPM tulipenda kumuita kiongozi mwenye maamuzi magumu.

Kwa taarifa tu huu mradi ni matokeo ya maamuzi magumu na ujasiri wa hayati JPM.
 
Uongozi ni mzigo mtu anabebeshwa lawama kwa hisia tu kwamba anahusika na jambo fulani 😃
 
No Mkuu!nafsi yangu inasema no jk kwenye hilo hayumo ni Mama,pk na waarabu na mashirika ya kijasusi ya nje mama akitaka kuungwa mkono na hayo mashirika ya kijasusi!!

Jk hawezi injinia huu Mpango halafu kijana wa pk aje kia ceo wa kampuni hiyo TZ never!!

Hii ni gem nyingine!!

Fuatilia body language ya mama na jk pale Dom wakati wa uzinduzi wa IKULU you can smell the rotten rat!!

Mkuu

Hata kwenye msiba wa jasusi mbobevu uhudhuriaji pamoja na kuwa sababu zilitolewa.
 
Nilitaka kuuliza hili swali kwenye page fulani ila nikahisi sauti inaniambia "Acha kiherehere" nikaacha.
 
No Mkuu!nafsi yangu inasema no jk kwenye hilo hayumo ni Mama,pk na waarabu na mashirika ya kijasusi ya nje mama akitaka kuungwa mkono na hayo mashirika ya kijasusi!!

Jk hawezi injinia huu Mpango halafu kijana wa pk aje kia ceo wa kampuni hiyo TZ never!!

Hii ni gem nyingine!!

Fuatilia body language ya mama na jk pale Dom wakati wa uzinduzi wa IKULU you can smell the rotten rat!!

Mkuu
No. Moja ajaye Mungu akubariki. Kwa hakika tunacheza mdundo mmoja. Hii inaweza kuwa ni game changer.
 
Ungeanza na hayati JPM kwani yeye ndio kiini cha hii biashara ya DP World, mwaka 2015 alipojenga SGR akawa ametengeneza mazingira ya kuwezekana kufanyika kwa makubaliano ya kibiashara baina ya pande mbili.

Tunapenda kumhusianisha JK na SSH bila hata ya kuwa na uelewa mpana wa nani haswa aliyekuwa nyuma ya maamuzi mazito. JPM tulipenda kumuita kiongozi mwenye maamuzi magumu.

Kwa taarifa tu huu mradi ni matokeo ya maamuzi magumu na ujasiri wa hayati JPM.
Bwashee tupe ushahidi basi kuthibitisha kuwa haya ni matokeo ya maamuzi magumu ya JPM.
 
Wananchi wana mtazamo gani,that is the only thing that is important:siyo maoni ya Kikwete,au maoni ya Bunge,au maoni ya Spika,au maoni ya DP World au maoni ya Rais Samia.
 
Siku hz habari haiwi habari bila kumtukana jk.

Ee Mungu, nijaalie moyo wa kijasiri uliojaa subra na uvumilivu kama wa jk niweze kuyakabila ya dunia hii ovu bila ya kuwaumiza wanaokesha kwa ajili ya kuniumiza!
Nani kakudanganya haumizi watu huyo?



Rejea hii habari



Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi:

Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.

Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)

Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.

Basi bwana, tumalizie mkasa huu

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.
 
Bwashee tupe ushahidi basi kuthibitisha kuwa haya ni matokeo ya maamuzi magumu ya JPM.
Magufuli kila alichofanya mlijielekeza kwingine kabisa na lengo la alichokifanya. 2015 alipoanza ujenzi wa SGR watu walikuja na kejeli kumbe ule ulikuwa ni mwanzo wa kujenga mazingira ya kuuwezesha huu mradi mkubwa wa DP World.
 
Magufuli kila alichofanya mlijielekeza kwingine kabisa na lengo la alichokifanya. 2015 alipoanza ujenzi wa SGR watu walikuja na kejeli kumbe ule ulikuwa ni mwanzo wa kujenga mazingira ya kuuwezesha huu mradi mkubwa wa DP World.
Huna nyimbo wewe unapiga porojo tu.
 
Back
Top Bottom