Kuvaa Hijab ni dini au udhaifu wa wanaume?

The 1995 Beijing Women's Conference.

The Beijing Declaration was made during the Fourth World Conference on Women convened by the United Nations during 4 -1 5 September 1995 in Beijing, China.

Chanzo ndio hicho hapo mkuu 50/50 usawa wa kijinsia

Ukivaa suruali na yeye muache avae

Ukinyoa kiduku na yeye muache anyoe kiduku

Ukitembea kifua wazi muache na yeye atembee kifua wazi

It's all about gender equity n gender equality

Ushaelewa
 
Matukio ya unyanyasaji wa kijinsia na kingono yanatokana na wanawake kutembea uchi, si kila mwanaume anaweza kudhibiti mihemko yake pindi auonapo uchi wa mwanamke.

Uislam ni complete package, una maelekezo toka mtu anazaliwa mpaka pale anaporudi mavumbini katika asili yake.
 
Back to the topic Beijing Women's Conference 1995
 
Na uchi wa mwanaume ni baina ya kitovu na magoti, so mwanaume unatakiwa ufunike maeneo hayo.
😂😂😂 Yaan hapo tu ndio kuna uchi wa mwanaume ila uchi wa mwanamke matiti chuchu dede kasima pekeake, midomo lips km lips, nyuchi km nyuchi kitu mbususu, mattercall km mattercall amejaaaziajazia nyuma kubeba mzigo wa kuni yaan eenhe hivyo yaan au nmewaza kwa sauti?
 
Vaeni nusu uchi wakristo, hili mapadri wenu wasipate tabu wakitaka kuwapelekea paipu
 
Sawa kabisa kila mmoja afuate dini yake na utashi wake. Ila kwa mfano huko Iran kila mwanamke anatakiwa kuvaa kama ni dini yake au la. Pia hatakiwi kubadilisha dini yake akiona haamini tena. Hapo chanzo cha vurugo tunaosikia kutoka Irani siku hizi.
 
Ulizaliwa ukiwa uchi unasubiri Nini maana inaonyesha umeshafanya maandali utakuwa umeshafuga mavuzi ya kutosha ili kufinika uchi wako Anza kutembea hivyo tutakula big up na like za kutosha
 
Babu yangu alikuwa mganga, lakini uganga wake sio pale nyumbani kwake, pale kijijini kwetu alikuwa haagui na sisi alikuwa hatuagui hata tukiumwa. Uganga wake alikuwa anaufanyia hukooo wilaya na mikoa ya mbali. Huyu alikuwa mganga au tapeli? Charlity begins at home.
 
Ona jinga ili! [emoji23].
 
Mfano wako wa uganga hauendani na Utume wa Mtume (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam). Mtume alipopewa Utume watu wa kwanza ambao alianza kuwalingania ni jamaa zake wa karibu. Alikuwa ni kheri kubwa kwao sababu ujio wake kwao ulikuwa ni Rahma. Ila sasa wapo waliomkataa na walipomkataa kule kuwa nae karibu kinasaba hakukuwafaa chochote. Kheri ilikuwa kwa wale jamaa zake wa karibu waliomfuata. Hivyo Mtume alianza kwa jamaa zake wa karibu (alianza nyumbani), wale waliomuamini ndio wakapata faida na kule kuwa kwao karibu na Mtume kinasaba ndio kukawafaa na kuwaongezea ubora. Ila waliomkataa na wale waliokufa katika Ushirkina, hao hakutawafaa kitu kule kuwa kwao karibu kinasaba na Mtume.

Mtume yeye ni Mjumbe tu wa Allah na Mbora wa Mitume na Manabii wote na Viumbe vyote. Hakuwa anafanya chochote kwa matamanio yake. Ubora wa watu wake wa karibu na wengine ukawekwa katika kuukubali Ujumbe wake aliopewa na Allah, na kumfuata yeye;



56. Nasi hatukukutuma ila kuwa ni Mbashiri na Mwonyaji. 56




57. Sema: Sikukuombeni ujira juu yake; ila atakaye na ashike njia iendayo kwa Mola wake Mlezi. 57

(Qur'an 25 : 56-57)



107. Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote. 107
(Qur'an 21:107)

Sahih al-Bukhari 6482
Narrated Abu Musa:
Allah's Messenger (ﷺ) said. "My example and the example of the message with which Allah has sent me is like that of a man who came to some people and said, "I have seen with my own eyes the enemy forces, and I am a naked warner (to you) so save yourself, save yourself! A group of them obeyed him and went out at night, slowly and stealthily and were safe, while another group did not believe him and thus the army took them in the morning and destroyed them."

حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ الْعَلاَءِ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، عَنْ بُرَيْدِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ أَبِي بُرْدَةَ، عَنْ أَبِي بُرْدَةَ، عَنْ أَبِي مُوسَى، قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ مَثَلِي وَمَثَلُ مَا بَعَثَنِي اللَّهُ كَمَثَلِ رَجُلٍ أَتَى قَوْمًا فَقَالَ رَأَيْتُ الْجَيْشَ بِعَيْنَىَّ، وَإِنِّي أَنَا النَّذِيرُ الْعُرْيَانُ فَالنَّجَا النَّجَاءَ‏.‏ فَأَطَاعَتْهُ طَائِفَةٌ فَأَدْلَجُوا عَلَى مَهْلِهِمْ فَنَجَوْا، وَكَذَّبَتْهُ طَائِفَةٌ فَصَبَّحَهُمُ الْجَيْشُ فَاجْتَاحَهُمْ ‏"‏‏.‏

Reference: Sahih al-Bukhari 6482
In-book reference: Book 81, Hadith 71
USC-MSA web (English) reference: Vol. 8, Book 76, Hadith 489
(deprecated numbering scheme)

Sahih al-Bukhari 6483
Narrated Abu Huraira:
I heard Allah's Messenger (ﷺ) saying, "My example and the example of the people is that of a man who made a fire, and when it lighted what was around it, Moths and other insects started falling into the fire. The man tried (his best) to prevent them, (from falling in the fire) but they overpowered him and rushed into the fire. The Prophet (ﷺ) added: Now, similarly, I take hold of the knots at your waist (belts) to prevent you from falling into the Fire, but you insist on falling into it."

حَدَّثَنَا أَبُو الْيَمَانِ، أَخْبَرَنَا شُعَيْبٌ، حَدَّثَنَا أَبُو الزِّنَادِ، عَنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، أَنَّهُ حَدَّثَهُ أَنَّهُ، سَمِعَ أَبَا هُرَيْرَةَ ـ رضى الله عنه ـ أَنَّهُ سَمِعَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يَقُولُ ‏ "‏ إِنَّمَا مَثَلِي وَمَثَلُ النَّاسِ كَمَثَلِ رَجُلٍ اسْتَوْقَدَ نَارًا، فَلَمَّا أَضَاءَتْ مَا حَوْلَهُ جَعَلَ الْفَرَاشُ وَهَذِهِ الدَّوَابُّ الَّتِي تَقَعُ فِي النَّارِ يَقَعْنَ فِيهَا، فَجَعَلَ يَنْزِعُهُنَّ وَيَغْلِبْنَهُ فَيَقْتَحِمْنَ فِيهَا، فَأَنَا آخُذُ بِحُجَزِكُمْ عَنِ النَّارِ، وَأَنْتُمْ تَقْتَحِمُونَ فِيهَا ‏"‏‏.‏

Reference: Sahih al-Bukhari 6483
In-book reference: Book 81, Hadith 72
USC-MSA web (English) reference: Vol. 8, Book 76, Hadith 490
(deprecated numbering scheme)



Kisai

Allah anajua zaidi
 
We ushapigwa muhuri wa ukafiri bakia hukohuko kwa watembea uchi wenzio
Ha...ha...ha

Si nipe hiyo Aya ndani ya Qurani inayosema mwanamke wa Kiislamu ajifunike Hijabu sehemu zinazo lazimishwa kufunikwa.

Maneno matupu hayana maana.
 
Yaani Muhammadi ndio mbora wa mitume.
Mbora kwa jambo lipi zuri na jipya, liweke hapa moja tu.
 
Usippteze nguvu zako kumpigia mbuzi gitaa, huyo hajaja hapa kuelimishwa bali kukosoa na kupotosha. Hata umpe aya na maneno gani hawezi kuonesha kuelewa, atalazimisha watu waamini chuki zake ndiyo kweli.
 
Point.
 
We ushapigwa muhuri wa ukafiri bakia hukohuko kwa watembea uchi wenzio
lakini mbona huwa mwajibu kwa jazba na matusi mkiulizwa maswali magumu?

je kuna aya in quran inaamrisha wanawake wavae hayo mabaibui na kufunika nywele?
 
lakini mbona huwa mwajibu kwa jazba na matusi mkiulizwa maswali magumu?

je kuna aya in quran inaamrisha wanawake wavae hayo mabaibui na kufunika nywele?
Wala tusiende mballi sana kuna mstari katika kitabu chenu unaozungumzia hilo!11
Nyie amuuooni kwa vile hamna mamlaka ya kufunua kitabu mpaka pastor awaamrishe mfungue wapi na wapi.
pitia

1 Wakorintho 11:5​

Japokuwa kila kitu kiliwekwa wazi ila mmelifanya andiko kuwa limepitwa na wakati.
 
Marekani anazidi kuwachokonoa waislamu , huku anampelekea Moto Putin , Irani naye yupo under hot soups, [emoji16][emoji16][emoji16] badae atamfinish North Korea kiulaiiiiiiiiiiiiini
Tukio la namna hii linaweza kugharimu serikali ya iran pakubwa sana, lkn matukio ya kibaguzi na kuuana us ndio anaongoza lkn watu huona kawaida sijui kwanini

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…