unakuta chungaji linaongelea ushabiki wa simba na yanga huku lipo madhabahuni, mara unasikia likitamka ubwela ubaya, ni kitukoKila mtanzania Huwa na akili Hadi pale atapoongelea SIASA au Mpira wa Simba na yanga
Anakua amevunja sheria ipi?Unakuta jitu liko kanisani limevaa jezi, tena liko mbele madhabahuni linaimba sifa na kuabudu, ni kituko
kuna mwanasiasa mmoja alikuwa anaongelea maendeleo ya timu ya taifa kufuzu, badala ya kutamka world cup yeye alitamka world bank, nadhani mnamfahamu huyo mwanasiasa, sina haja kumdadavua sana mmeshamjua ni naniKila mtanzania Huwa na akili Hadi pale atapoongelea SIASA au Mpira wa Simba na yanga
Za kizimkazi au yangu na simbuHuu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
kila eneo lina dressing code yake, whether you like or notAnakua amevunja sheria ipi?
Jezi ni Kijani na Njano tu hakuna rangi nyingine?Unapokuta mwanaume kavaa vitenge vya kijani au njano unajua tu ana mwiko
nadhani ile jezi ya gold na ile ya buluu ya yanga inafaa my lady,Huu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Uko sahihi kabsa yani ni sawa ukute mtu kavaa jezi la Simba lina matangazo kibao kila sehemu sijui Mo Energy, Mo Sabuni afu linachekelea tu unaona kabsa hii ng'ombe ni mbumbumbu promaxNakazia hapo mfano kama mimi nikiona mtu amevaa jezi za njano zile za uto najuaga kabisa hapa nati kichwani hazipo sawa.
Kanisani ni ipi?kila eneo lina dressing code yake, whether you like or not
mavazi ya staha na heshimaKanisani ni ipi?
Jezi ni vazi la aibu?mavazi ya staha na heshima
mrembo mambooHuu mtindo unapata kasi sana. Upigwe marufuku kwasababu ni aibu kwa taifa.
Ofisini ni sehemu ya heshima
Huu ni uharibu wa mboga 😀
hilo vazi limekaa kihunihuni, kuna sehemu ukilivaa utaonekana ni muhuniJezi ni vazi la aibu?